Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
By the way, hili la Dakta Slaa vipi kuhusu umri ? Coz nakumbuka kuna kipindi Mabalozi walistaafishwa baada kuufikia umri huo wa kustaafu.
Sasa dakta Slaa ni vipi! Na kwani umri wa kustaafu Mabalozi si ni sawa na watumishi umma wengine! Maana dakta Slaa alizaliwa 29/10/1948 so ana miaka 69 sasa....Hapa imekaaje! Najaribu kuwaza tu na wala simuonei 'wivu' dakta Slaa......
Sasa dakta Slaa ni vipi! Na kwani umri wa kustaafu Mabalozi si ni sawa na watumishi umma wengine! Maana dakta Slaa alizaliwa 29/10/1948 so ana miaka 69 sasa....Hapa imekaaje! Najaribu kuwaza tu na wala simuonei 'wivu' dakta Slaa......