Shahidi ni mtu mwenye sifa zipi mbele ya mahakama? Je mtu aliyefika mahala ambapo tukio lilitokea baada ya siku 1 au wiki 1 anaweza kuwa shahidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni ushahidi wa wizi je?Inategemeana na jambo husika kama shuhuda wa tukio mathalani ajali au ugomvi inatakiwa awepo wakatik tukio linatokea lakini kama ni daktari aliyehusika kumtibu majeruhi wa tukio si lazima awe amemtibu siku ya tukio. Kikikubwa kwenye sheria ya ushahidi ni lazima shaidi atoe ushahidi ambao ni direct kwa maana kile alichoshuhudia na wala si kusimuliwa.
Nimekupata vyema sanaUshahidi wa wizi lazima utolewe na mtu aliekuwepo kwenye tukio,nikimaanisha aliona au alikuwepo wakati wa tukio.
Kutoa ushahidi wa tukio la wiki kama haukuwepo wakati wa tukio iyo itakuwa hearsay evidence ambayo haikubaliki mahakamani. Lakini kama uliona tukio lakini ukatoa ushahidi siku nyingine inakuvalika.
Shahidi ukimwambia aje atoe ushahidi ni lazima au hiari yake kuja?inategemea
Je shahidi wa kesi ukimwambia aje atoe ushahidi je lazima kuja au hiari yake sheria ikoje tusaidie hiloInategemeana na jambo husika kama shuhuda wa tukio mathalani ajali au ugomvi inatakiwa awepo wakatik tukio linatokea lakini kama ni daktari aliyehusika kumtibu majeruhi wa tukio si lazima awe amemtibu siku ya tukio. Kikikubwa kwenye sheria ya ushahidi ni lazima shaidi atoe ushahidi ambao ni direct kwa maana kile alichoshuhudia na wala si kusimuliwa.