C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,715
Jamani wakuu habari zenu,
Mimi nilikuwa nina swali moja naomba kuuliza
mfano ukianzisha kampuni yako na ukaipa jina la
itanzania na mfano hiyo kampuni ikawa inashughulika na vitu kama utengenezaji wa vitu vya technology na katika hivyo ukawa una products kama softwares na hardwares na ukawa unazipa majina kama itanzania softwares na ukawa na bidhaa kama TV na simu ukawa unaziita itanzania Tv na simu ukawa unaziita itanzania mobile je
swali langu ni hili....??
KAMPUNI YA APPLE INC wanaweza kuku SUE kisa umetumia title yao ya i KATIKA PRODUCT ZAKO???
NAOMBA NIELEZWE KATIKA HILI
na je ni vitu gani ukivitumia Kampuni nyingine inaweza kuku sue kisa umetumia trademark zao???
Mimi nilikuwa nina swali moja naomba kuuliza
mfano ukianzisha kampuni yako na ukaipa jina la
itanzania na mfano hiyo kampuni ikawa inashughulika na vitu kama utengenezaji wa vitu vya technology na katika hivyo ukawa una products kama softwares na hardwares na ukawa unazipa majina kama itanzania softwares na ukawa na bidhaa kama TV na simu ukawa unaziita itanzania Tv na simu ukawa unaziita itanzania mobile je
swali langu ni hili....??
KAMPUNI YA APPLE INC wanaweza kuku SUE kisa umetumia title yao ya i KATIKA PRODUCT ZAKO???
NAOMBA NIELEZWE KATIKA HILI
na je ni vitu gani ukivitumia Kampuni nyingine inaweza kuku sue kisa umetumia trademark zao???