Sheria ya Uchaguzi ni mbovu! Kuendelea kuitumia sio Ujinga? Kuwabebesha masikini gharama za Uchaguzi sio Dhambi?

Wengi tunalalamika sana kwamba gharama za uchaguzi ni kubwa na pesa hivyo ingeweza tumika kwa kufanyia jambo jingine la kimaendeleo.
kuna mambo mawili ya kufanya ili kuepuka gharama za uchaguzi huo/hizo.
1-kwanza tuvunje tu katiba kidogo kwa kufanya mambo mawili:
A)mbunge atakae hama chama ahame na ubunge wake yani sifa ya ubunge ibaki pale pale ila ruzuku ya chama ibaki ktk chama cha mwanzo alichotoka.
B)hilo likishindikana,basi jimbo limebaki bila mbunge mpaka 2020 kwani hata akiwepo hatoleta maendeleo ya moja kwa moja.
2-chama atakacho hamia ndio kigharamie uchaguzi.
hii itasaidia ktk mambo mawili:
A)vyama vitaogopa kupokea wabunge watakao watia hasara ya pesa.
B)uhakika wa mbunge muhamaji kupata chochote (pesa) utakuwa mdogo kwani tayari pesa yote itakuwa inagharamia uchaguzi.
SULUHISHO NDO HILI.
dah ghafla tu kitu kilikuwa jukwaa la siasa ila sasa kimesukumiziwa huku.,aise Mods bhana halafu mnafanya kimya kimya kwanini hivi ?
 
Katika medali za kimichezo ni jambo la kawaida kusikia mchezaji mmoja anatoka klabu moja kwenda jingine kwa kiwango fulani kikubwa cha pesa. Pesa hiyo huitwa “dau la uhamisho”. Ila ni jambo la kuajabisha kusikia mwanasiasa nae anakuwa na dau la uhamisho.
Katika nchi maskini kama Tanzania, taifa ambalo halijapevuka kiuchumi hasa katika kutatua changamoto mbalimbali jamii, inatumia zaidi ya billioni moja kumuhamisha mbunge tena aliye katika mhimili wa bunge wenye maamuzi, kutoka chama A kwenda chama B.
Ukimengenya dhana hii unaweza jiuliza elimu tuliyo nayo ni elimu inayo tupa tafakari gani juu ya ukombozi wa fikra zetu au ni elimu kivuli? viongozi tulio nao wana uzalendo na taifa hili au wao ni uvyama na maslai yao binafsi? Ni jambo fikirishi sana.
Inajadilika vipi mwakilishi aliye pewa dhamana na wananchi kupitia chama X kuamua kujiuzulu nafasi yake mwenyewe bila hata ruhusa au shinikizo la walio mpa dhamana hiyo? Na pasipo matarajio anarejea kupitia chama Y, kutaka nafasi aliyo iachia bila hata kuomba idhini ya wananchi? Kama taifa hebu tujitathimini katika hili.
Serikali ya awamu ya tano na dhana ya kubana matumizi kwa lengo la kuwatumikia wananchi bila kujali itikadi ya vyama, hebu na hili nalo litazamwe. Inakubalika vipi mbunge wa jimbo moja tu aiingizie serikali hasara ya zaidi ya billioni moja ambazo ni kodi za Watanzania wote, walio wanasiasa na wasio wanasiasa, walio katika majimbo husika na wasio katika majimbo hayo ya uchaguzi?
Tupingane na makosa ya makusudi ya mtu au chama fulani kutuingiza katika gharama ambazo hazina msingi. Ingekuwa ni kwa sababu zisizo zuilika mathalani vifo, ingekuwa ni hoja tofauti ila kwa mazingira ya sasa ni aibu kuu.
Ukiwa na zao bora la akili unaweza kuona mamilioni yanayo enda kuteketea katika uchaguzi, pesa ambazo zingeweza elekezwa katika miradi ya maendeleo katika majimbo husika. Ina tia uchungu kuona watu wanatanguliza maslai ya vyama vyao kuliko maslai na maendeleo ya wananchi.
Ni heri tukasuguana kifkra katika sera, falsafa na itikadi ndani ya kingo za kisiasa ila inapo fika suala la kuwatumikia wananchi, kusongesha gurudumu la maendeleo mbele, mchakato wa kudumisha amani yetu kama taifa, shabaha ya kuujenga uchumi wetu na kusonga mbele kama taifa lazima tutangulize mbele uzalendo na utaifa, na tuseme kwa lugha na sauti moja.
Katika kona hiyo hakuna sababu ya wengine kupanda milimani kupiga zumari la kuwakinga watu na mvua ilihali hawajui watu wanavyo sombwa na maji mabondeni au kugombania fito ilhali tunajenga nyumba moja.
Lazima tushikamane katika kutatua kero za wananchi katika majimbo, kero za uhaba wa maji, miundo mbinu, huduma za afya, Elimu, Kilimo, Ukosefu wa mikopo, tatizo la ukosefu wa ajira, na kama pesa ipo ni vema wananchi pia wakapata uhuru wa kulitazama bunge lao moja kwa moja bila visingizio.
Katika hili tuache zile siasa za mmoja anatoa jibu la 5+5=10 mwingine anasema ni 7, aliye sema 10 anaonekana ni mkosaji, mnafiki, muongo na adui na aliye sema 7 anatafutiwa sababu nyeti za kutetewa. Hatutafika kama taifa. Lazima nchi ijengwe kwa ajili ya vizazi vya sasa na vizazi vya miaka 500 ijayo.

Ndimi, Noel Shao
 
Yote hiyo inasababishwa na kuwa na viongozi washamba na malimbukeni.
By Zitto Kabwe
 
Wakuu habar ya Leo. Mimi binafsii nakerwaa SNA SNA na tabiaa ya kurudiaa UCHAGUZI wakatii huo kiongozi husikaa yupo hai hajafa.

Napendaa kushauri serikalii kufikaa mahalii kuonaa kua hii ni matumizi mabayaa ya pesa za umma. Rai yangu ni kuombaa wabunge waliomo humu au viongozii wenyekuezaa kuishaurii serikali kuwezaa kutunga sheriaa inayopigaa marufukuu mchezoo huu Wa kurudiaa UCHAGUZI kwa MTU aliejiuzulu kwa hiyari take mwenyewee. maana ni matumizi mabayaa ya pesa za walipakodii. Haiwezekanii Tanzania ya matatizo hivii chungumzimaa kujifanyaa hayaonekanii na kuanzaa kutumiaa mabilioni kwajilii ya kurudiaa UCHAGUZI ambao bajetii yake ilishapitaa.

Inaumizaa snaa na naombaa kuwasilishaa wadau. No maonii yanguu tuu jaman.

Je we we kama mtanzaniaa mzalendo inakupendezaa hiii??
 
Sisonje polepole na serikali ya ccm atapata sifa wapi?maana nchi imewashinda wameshindwa kuwapatia watanzania maendeleo na sasa wameona ni bora kuchota pesa azina na kununua wapinzani ili wampe sifa sisonje.


Poor them


Swissme
 
Sisonje polepole na serikali ya ccm atapata sifa wapi?maana nchi imewashinda wameshindwa kuwapatia watanzania maendeleo na sasa wameona ni bora kuchota pesa azina na kununua wapinzani ili wampe sifa sisonje.


Poor them


Swissme
Sasa mkuu tufanyejee. Manaa hii imekuaa dondaa suguu kiukwel
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wakuu habar ya Leo. Mimi binafsii nakerwaa SNA SNA na tabiaa ya kurudiaa UCHAGUZI wakatii huo kiongozi husikaa yupo hai hajafa.

Napendaa kushauri serikalii kufikaa mahalii kuonaa kua hii ni matumizi mabayaa ya pesa za umma. Rai yangu ni kuombaa wabunge waliomo humu au viongozii wenyekuezaa kuishaurii serikali kuwezaa kutunga sheriaa inayopigaa marufukuu mchezoo huu Wa kurudiaa UCHAGUZI kwa MTU aliejiuzulu kwa hiyari take mwenyewee. maana ni matumizi mabayaa ya pesa za walipakodii. Haiwezekanii Tanzania ya matatizo hivii chungumzimaa kujifanyaa hayaonekanii na kuanzaa kutumiaa mabilioni kwajilii ya kurudiaa UCHAGUZI ambao bajetii yake ilishapitaa.

Inaumizaa snaa na naombaa kuwasilishaa wadau. No maonii yanguu tuu jaman.

Je we we kama mtanzaniaa mzalendo inakupendezaa hiii??

WAzo zuri; lakini unafanyaje kuhusu kumpata mtu mwingine kuchukua nafasi ya yule aliyejiuzulu? au unapendekeza watu wasiwe na wawakilishi kwa vile mtu kajiuzulu.
 
Ni kweli kila jimbo/ kata linahitaji kuwa na muwakilishi lakini si kwa mwendo huu wa kununuliwa kisha urushwe kugombea tena nafasi ile ile kupitia MACCM. Kumuunga mkono Magu hakuhitaji kujiuzulu na kujiunga na MACCM. Subiri awamu yako iishe ujiunge na MACCM badala ya kuwabebesha walipa kodi gharama chungu nzima za mabilioni pesa ambazo zingeweza kuelekezwa kwenye mambo ya tija kwa Watanzania badala ya hizi chaguzi UCHWARA.

WAzo zuri; lakini unafanyaje kuhusu kumpata mtu mwingine kuchukua nafasi ya yule aliyejiuzulu? au unapendekeza watu wasiwe na wawakilishi kwa vile mtu kajiuzulu.
 
WAzo zuri; lakini unafanyaje kuhusu kumpata mtu mwingine kuchukua nafasi ya yule aliyejiuzulu? au unapendekeza watu wasiwe na wawakilishi kwa vile mtu kajiuzulu.
Atafutwe aliyekuwa anamkaribia kwa kura, ndio achukue nafasi ya uwakilishi. Na huu ndio utakuwa mwarobaini, sijui kama kuna atakayekuwa tayari kujiuzulu.
 
Wakuu habar ya Leo. Mimi binafsii nakerwaa SNA SNA na tabiaa ya kurudiaa UCHAGUZI wakatii huo kiongozi husikaa yupo hai hajafa.

Napendaa kushauri serikalii kufikaa mahalii kuonaa kua hii ni matumizi mabayaa ya pesa za umma. Rai yangu ni kuombaa wabunge waliomo humu au viongozii wenyekuezaa kuishaurii serikali kuwezaa kutunga sheriaa inayopigaa marufukuu mchezoo huu Wa kurudiaa UCHAGUZI kwa MTU aliejiuzulu kwa hiyari take mwenyewee. maana ni matumizi mabayaa ya pesa za walipakodii. Haiwezekanii Tanzania ya matatizo hivii chungumzimaa kujifanyaa hayaonekanii na kuanzaa kutumiaa mabilioni kwajilii ya kurudiaa UCHAGUZI ambao bajetii yake ilishapitaa.

Inaumizaa snaa na naombaa kuwasilishaa wadau. No maonii yanguu tuu jaman.

Je we we kama mtanzaniaa mzalendo inakupendezaa hiii??
Naunga mkono hoja.
Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law!, Kuendelea Kuitumia ni Ujinga?, Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!.

Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.

P
 
Serikali unayoieleza inahusika kwa asilimia 100 juu ya hilo swala. Hakuna anayejali pesa za umma, kwa kuwa zipo, wao wanazifuja tu!
 
Wakuu habar ya Leo. Mimi binafsii nakerwaa SNA SNA na tabiaa ya kurudiaa UCHAGUZI wakatii huo kiongozi husikaa yupo hai hajafa.

Napendaa kushauri serikalii kufikaa mahalii kuonaa kua hii ni matumizi mabayaa ya pesa za umma. Rai yangu ni kuombaa wabunge waliomo humu au viongozii wenyekuezaa kuishaurii serikali kuwezaa kutunga sheriaa inayopigaa marufukuu mchezoo huu Wa kurudiaa UCHAGUZI kwa MTU aliejiuzulu kwa hiyari take mwenyewee. maana ni matumizi mabayaa ya pesa za walipakodii. Haiwezekanii Tanzania ya matatizo hivii chungumzimaa kujifanyaa hayaonekanii na kuanzaa kutumiaa mabilioni kwajilii ya kurudiaa UCHAGUZI ambao bajetii yake ilishapitaa.

Inaumizaa snaa na naombaa kuwasilishaa wadau. No maonii yanguu tuu jaman.

Je we we kama mtanzaniaa mzalendo inakupendezaa hiii??
Hiyo imekaa vizuri.
Ili kukomesha kabisa tabia hii ungeongezea na kuiomba selikali isitishe kutoa ruzuku kwa vyama vyote ili kila chama kitumie pesa za uchaguzi kutoka kwenye vyanzo vyake.
Natumai kero hii au matumizi mabaya ya pesa za umma itapotea kabisa, na hao wanaojiita wapinzani Sijui kama watakuwepo.
Ngumu kumeza, ngumu kutema.
 
Back
Top Bottom