Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Mimi naomba nitakamke rasimi kuwa hakuna haja ya kutupa misaada ya fedha na mikopo kwasababu sisi mnaotusaidi hatujitambui.
Tumebadili sheria nyingi lakini kubadili sheria ya uchaguzi ili watu wanaojiuzulu ubunge au udiwani wasipoteza nafasi zao hizo kuchaguliwa lengo likiwa ni kutopoteza fedha za kugharamia uchaguzi,tumeona si jambo la msingi hivyo sisi sio watu wa kusaidiwa wala kupewa mikopo na ni bora hizo fedha mkawape watu wa mataifa mengine walio serious na maisha yao.
Hii misaada ni fedha/jasho la walipa kodi wa nchi zenu hivyo jasho hili msilipoteze kwa kuwapa watu ambao hawataki kujisaidia.
Endeleeni kukata misaada yote na hata mikopo msitupe tumezidi ujinga.
Uzalendo sio kuunga mkono ujinga au upuuzi kisa tu unafanywa na watu wakubwa bali ni kuupinga upuuzi huo kwa njia yoyote ile hata kama itakuwa na maumivu.
Tumebadili sheria nyingi lakini kubadili sheria ya uchaguzi ili watu wanaojiuzulu ubunge au udiwani wasipoteza nafasi zao hizo kuchaguliwa lengo likiwa ni kutopoteza fedha za kugharamia uchaguzi,tumeona si jambo la msingi hivyo sisi sio watu wa kusaidiwa wala kupewa mikopo na ni bora hizo fedha mkawape watu wa mataifa mengine walio serious na maisha yao.
Hii misaada ni fedha/jasho la walipa kodi wa nchi zenu hivyo jasho hili msilipoteze kwa kuwapa watu ambao hawataki kujisaidia.
Endeleeni kukata misaada yote na hata mikopo msitupe tumezidi ujinga.
Uzalendo sio kuunga mkono ujinga au upuuzi kisa tu unafanywa na watu wakubwa bali ni kuupinga upuuzi huo kwa njia yoyote ile hata kama itakuwa na maumivu.