chameleon
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 555
- 170
Kama wananchi tumepata kwa mshituko mkubwa sana taarifa za Tume ya Uchaguzi kuhusu sheria ya ubaguzi ya uchaguzi inayompoka wananchi haki yake ya kikatiba . Ni wazi kwamba kwa kumlazimisha Mtanzania apige kura sehemu aliyojiandikisha tu na si kwingineko ndani ya Tanzania ni ubaguzi ambao umeacha watanzania wengi hususani wanavyuo bila haki ya kupiga kura kwani wengi wao walijiandikisha ktk maeneo ya vyuo ambavyo sasa vimefungwa kupisha zoezi la uchaguzi mkuu. Katiba ya JMT Na. 13.(1)-(5) ...inaendelea