Uchaguzi 2020 Sheria ya pingamizi ni hatari kuliko kukaguliwa fomu. Isome: yaani Mwenyekiti wa Tume anakuengua na huna pa kushitaki wala kukata rufaa

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
IMG_20200826_072732.jpg
 
Hizi sheria ni za hovyo sana!
Ukiangalia kwa ujumla wake hiki kipengele cha mapingamizi si hovyo kiasi hicho. Imetoa fursa ya aliyewekewa pingamizi kujitetea. Pia Jaji wa tume anatakiwa atoe sababu za kumuengua mgombea uraisi baada ya kulidadavuwa hilo pingamizi. Si rahisi kivile kwa Jaji kumuengua mtu. Sema tatizo ni kuwa maamuzi ya Jaji ni ya mwisho na hayawezi kuhojiwa mahakamani!
 
Ukiangalia kwa ujumla wake hiki kipengele cha mapingamizi si hovyo kiasi hicho. Imetoa fursa ya aliyewekewa pingamizi kujitetea. Pia Jaji wa tume anatakiwa atoe sababu za kumuengua mgombea uraisi baada ya kulidadavuwa hilo pingamizi. Si rahisi kivile kwa Jaji kumuengua mtu. Sema tatizo ni kuwa maamuzi ya Jaji ni ya mwisho na hayawezi kuhojiwa mahakamani!
Sasa umeongea nini hapo.
 
Hata Libya ilianzia kwenye mitandao
Duh! Sijaona Mtanzania wa kujifunga bomu afe nalo (suicide bomber) ila pale Tripoli wapo lukuki. Watu wengi wanadhani utulivu na Amani ya nchi hii vinaletwa na vyombo vya ulinzi na usalama. LA ASHA, ni hulka ya watanzania Kwa ujumla wao, Watz ni watu wastaarabu sana na sio watu wenye hulka za fujo na ukatili, ndio maana unakuta nchi za Scandinavia ambazo tunashabiana hupenda kutuunga mkono bila masharti tofauti na mataifa mengine.
 
Duh! Sijaona Mtanzania wa kujifunga bomu afe nalo( suicide bomber) ila pale Tripoli wapo lukuki. Watu wengi wanadhani utulivu na Amani ya nchi hii vinaletwa na vyombo vya ulinzi na usalama. LA ASHA, ni hulka ya watanzania Kwa ujumla wao, watz ni watu wastaarabu sana na sio watu wenye hulka za fujo na ukatili, ndio maana unakuta nchi za Scandinavia ambazo tunashabiana hupenda kutuunga mkono bila masharti tofauti na mataifa mengine.
Endelea kuamini hivyo hivyo. Sudan miaka ya 90 walikuwa waoga hao, lakini muda ulifika wenyewe.
 
Duh..sijaona Mtanzania wa kujifunga bomu afe nalo( suicide bomber) ila pale Tripoli wapo lukuki. Watu wengi wanadhani utulivu na Amani ya nchi hii vinaletwa na vyombo vya ulinzi na usalama...LA ASHA, ni hulka ya watanzania Kwa ujumla wao, watz ni watu wastaarabu Sana na sio watu wenye hulka za fujo na ukatili...ndio maana unakuta nchi za Scandinavia ambazo tunashabiana hupenda kutuunga mkono bila masharti tofauti na mataifa mengine.
Mkuu umeandika ukweli mtupu👏
 
Unashitaki kwa umma ndiyo maana Tundu Lissu alisema leo watu wanatakiwa kwenda wengi Dodoma kuonesha kuwa mgombea anakubalika maana mamlaka inatoka kwa wananchi. Kama akimuengua anaanza kupingana na mamlaka ya kuchagua viongozi ambao ni umma wa watanzania
 
Hii sheria iko hivi hivi siku nyingi!

wacha kupotisha, hii imebadilishw ajuzi, zamani wmenye uwezo wa kukuwekea pingaizi alikuwa ni Mgombea mwenzio au mwannchi yeyete tu,
sikuhizi wamebadilisha hakuna pingamizi zaidi ya hao watatu ni hivyo hivyo hata kw awabunge.
sikuhizi hakuna mwanachi kwenda mahakamni tena, anayepaswa kwenda ni wagombea wenzio tu kitu ambacho ni cha ovyo kabisa.
 
Ukiangalia kwa ujumla wake hiki kipengele cha mapingamizi si hovyo kiasi hicho. Imetoa fursa ya aliyewekewa pingamizi kujitetea. Pia Jaji wa tume anatakiwa atoe sababu za kumuengua mgombea uraisi baada ya kulidadavuwa hilo pingamizi. Si rahisi kivile kwa Jaji kumuengua mtu. Sema tatizo ni kuwa maamuzi ya Jaji ni ya mwisho na hayawezi kuhojiwa mahakamani!

MKuu hapo mwisho ndio kwenye tatizo, ni mara ngapi tumeshuhudia watu wakifanya maamuzi(mahakama/wakurugenzi/Spika) na kwakuw atu hakuna paku kwenda( SPIKA) hata kama ni ya ovyo huna lakufanya, ila pakiwepo pakukimbilia ni mara ngapi maamuzi ya kijinga( wakurugenzi/Mahakama) yametenguliw ana Tume /Mhakama za rufaa au kuu?
 
Duh! Sijaona Mtanzania wa kujifunga bomu afe nalo (suicide bomber) ila pale Tripoli wapo lukuki. Watu wengi wanadhani utulivu na Amani ya nchi hii vinaletwa na vyombo vya ulinzi na usalama. LA ASHA, ni hulka ya watanzania Kwa ujumla wao, Watz ni watu wastaarabu sana na sio watu wenye hulka za fujo na ukatili, ndio maana unakuta nchi za Scandinavia ambazo tunashabiana hupenda kutuunga mkono bila masharti tofauti na mataifa mengine.

Nani ana kudanganya hawajapata hamasa tu. Hawa vijana wasiyo na kazi ya kueleweka Hawa ndo useme watulivu ndiyo maana kunapokuwa na vijana wengi wasio na kazi huwa linaitwa bomu sababu ni rahisi sana kushawishika na kuingia barabarani.
 
Back
Top Bottom