Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,743
tatizo tunalolipata hapa ni hicho kitu kinachoitwa tafsiri.
Nategemea kufunga ndoa hivi karibuni na mtarajiwa wangu ni mwanasheria hivyo tulikuwa tunapitia hatua kwa hatua kuhusu haki na wajibu a wanandoa. na pia hata mambo ya kuwekana kinyumba ambayo yanafanyika sana siku hizi na watu hawajui madhila yake ila nawashauri mfungue ile link aliyotoa Mwanakijiji in firt page ya thread hii kisha angalieni mambo yooote maana ukipata matata usije ukalalama kuwa sikujua....
Ila bado nina quarel na kutajwa Tanganyika badala ya Tanzania. Je ina maana hata draftsman ni kilaza?? miaka yote hii hakuna marekebisho hata ya kisarufi??? my god
Nategemea kufunga ndoa hivi karibuni na mtarajiwa wangu ni mwanasheria hivyo tulikuwa tunapitia hatua kwa hatua kuhusu haki na wajibu a wanandoa. na pia hata mambo ya kuwekana kinyumba ambayo yanafanyika sana siku hizi na watu hawajui madhila yake ila nawashauri mfungue ile link aliyotoa Mwanakijiji in firt page ya thread hii kisha angalieni mambo yooote maana ukipata matata usije ukalalama kuwa sikujua....
Ila bado nina quarel na kutajwa Tanganyika badala ya Tanzania. Je ina maana hata draftsman ni kilaza?? miaka yote hii hakuna marekebisho hata ya kisarufi??? my god