Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,193
- 25,504
Mkuu, jisomee tena Sheria ya Ndoa na taratibu zake. Waislamu wanayo Mabaraza ya usuluhishi. Na ni lazima kuanzia huko kabla ya kwenda Mahakamani.Sema kwa upande wa ndoa ya Kiislam, Sheria itakayotumika mahakamani ni Sheria ya Kiislam. Kwao hakuna kupitia mabaraza ya usuluhishi.