Sheria ya ndoa tanzania

blacknyasu

New Member
Jun 6, 2008
2
0
Za asubuhi waungwana, hivi karbuni nilisikia kwenye radio(sikumbuki ni redio station gani)ya kwamba nchi yetu inareview sheria ya ndoa ili kuwalinda mabinti wenye umri chini ya miaka 18. Naomba kama kuna mdau yoyote mwenye link ya document ambayo naweza kuoan sheria ya ndoa ya Tanzania anipatie
Shukran
 
Za asubuhi waungwana, hivi karbuni nilisikia kwenye radio(sikumbuki ni redio station gani)ya kwamba nchi yetu inareview sheria ya ndoa ili kuwalinda mabinti wenye umri chini ya miaka 18. Naomba kama kuna mdau yoyote mwenye link ya document ambayo naweza kuoan sheria ya ndoa ya Tanzania anipatie
Shukran

Google Law of Marriage Act, 1971 utapata iko kwenye mtandao
 
Back
Top Bottom