Karanga Lawfirm
Senior Member
- Feb 10, 2021
- 161
- 165
Kwanza hapo hakukuwa na ndoa. Bali kulikuwa nadhana ya ndoa haijalishi wameishi kwa kipindi cha miaka mitano au zaidi. Kama hawakufunga ndoa na hakukuwa na cheti.
Pili, huwezikufidiwa kusa eti umekaa na MTU kwa muda Fulani na mlikuwa mkiishi kinyumba. Sheria ya Tz ina mpa MTU haki yakupewa sehemu ya mgao kwakile walichotafuta pamoja wakuwa wanaishi pamoja.
Tatu, MTU anaedai fidia lazima adai fidia halisi (actual damages) na si vinginevyo. Yaani fidia inayohesabika.
Kwenye swala hilo huyo mwanamke hana chake anapoteza muda tu.
Pili, huwezikufidiwa kusa eti umekaa na MTU kwa muda Fulani na mlikuwa mkiishi kinyumba. Sheria ya Tz ina mpa MTU haki yakupewa sehemu ya mgao kwakile walichotafuta pamoja wakuwa wanaishi pamoja.
Tatu, MTU anaedai fidia lazima adai fidia halisi (actual damages) na si vinginevyo. Yaani fidia inayohesabika.
Kwenye swala hilo huyo mwanamke hana chake anapoteza muda tu.