Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,071
- 2,010
Kabla ya kuoa ulikuwa na mali zako ulizomiliki kama nyumba, gari na ardhi(shamba). Ukaja kuoa baadae mkazinguana na mwanamke mkatalikiana.
Sasa katika kugawana mali; je, zile mali ulizochuma kabla ya ndoa zitahusika ktk mgawanyo?! Msaada tafadhali wanasheria wasomi
Sasa katika kugawana mali; je, zile mali ulizochuma kabla ya ndoa zitahusika ktk mgawanyo?! Msaada tafadhali wanasheria wasomi