Sheria ya Ndoa inasemaje kuhusu mali zilizochumwa kabla ya ndoa?

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Dec 20, 2013
2,071
2,010
Kabla ya kuoa ulikuwa na mali zako ulizomiliki kama nyumba, gari na ardhi(shamba). Ukaja kuoa baadae mkazinguana na mwanamke mkatalikiana.

Sasa katika kugawana mali; je, zile mali ulizochuma kabla ya ndoa zitahusika ktk mgawanyo?! Msaada tafadhali wanasheria wasomi
 
zinahusika mkuu labda Kama hazijui akizijua imekula kwako
Duh!hasa km ndo hivi mwanamke akigundua una mali si anaweza akajilengesha kwako akatia drama na maigizo ili mwanaume uone umepata then unamuoa kumbe yy analenga mali zako tu,ukishamuoa anaanza kuzingua ili mgawane mali.Hii naona km imekaa vbaya hv!!
 
Jasho lako kabla ya ndoa ni lakwako pke ako labda kma mlishirikiana kuviendeleza wte ktk kpnd cha ndoa S.38 of Law of marriage Act cap 39 R.E 2002
Upo sahihi sana
Sheria ya ndoa nadhani ni mojawapo kati ya sheria zinazohitaji kuwa reviewed, ipo biased sana.
Ukiwa na mali yoyote kabla ya ndoa na ikawa imeandikishwa kwa jina lako, itahesabiwa ni yako, ukioa, kama mkeo hajawahi ijua na hajawahi kujishirikisha kwa namna yoyote ktk mali hiyo itahesabiwa ni yako mkitengana, lakini tu, akijishirikisha vyovyote vile na mali hiyo, itahesabiwa amehusika kuiendeleza na mtagawana 50/50.
Mali zote mlizopata mkiwa ktk ndoa, na zikaandikwa jina la mume, mtagawana 50/50, lakini tu, ikitokea mmezipata mkiwa ktk ndoa, na zikaandikishwa kwa jina la mke, itahesabiwa kuwa ulimpa zawadi, na ni "transfer of ownership" na kwakweli hizo hupati hata senti tano.
ANGALIZO; Kuweni makini na mali mnazowaandika wake zenu!!!
 
Upo sahihi sana
Sheria ya ndoa nadhani ni mojawapo kati ya sheria zinazohitaji kuwa reviewed, ipo biased sana.
Ukiwa na mali yoyote kabla ya ndoa na ikawa imeandikishwa kwa jina lako, itahesabiwa ni yako, ukioa, kama mkeo hajawahi ijua na hajawahi kujishirikisha kwa namna yoyote ktk mali hiyo itahesabiwa ni yako mkitengana, lakini tu, akijishirikisha vyovyote vile na mali hiyo, itahesabiwa amehusika kuiendeleza na mtagawana 50/50.
Mali zote mlizopata mkiwa ktk ndoa, na zikaandikwa jina la mume, mtagawana 50/50, lakini tu, ikitokea mmezipata mkiwa ktk ndoa, na zikaandikishwa kwa jina la mke, itahesabiwa kuwa ulimpa zawadi, na ni "transfer of ownership" na kwakweli hizo hupati hata senti tano.
ANGALIZO; Kuweni makini na mali mnazowaandika wake zenu!!!
Mh hatari
 
Upo sahihi sana
Sheria ya ndoa nadhani ni mojawapo kati ya sheria zinazohitaji kuwa reviewed, ipo biased sana.
Ukiwa na mali yoyote kabla ya ndoa na ikawa imeandikishwa kwa jina lako, itahesabiwa ni yako, ukioa, kama mkeo hajawahi ijua na hajawahi kujishirikisha kwa namna yoyote ktk mali hiyo itahesabiwa ni yako mkitengana, lakini tu, akijishirikisha vyovyote vile na mali hiyo, itahesabiwa amehusika kuiendeleza na mtagawana 50/50.
Mali zote mlizopata mkiwa ktk ndoa, na zikaandikwa jina la mume, mtagawana 50/50, lakini tu, ikitokea mmezipata mkiwa ktk ndoa, na zikaandikishwa kwa jina la mke, itahesabiwa kuwa ulimpa zawadi, na ni "transfer of ownership" na kwakweli hizo hupati hata senti tano.
ANGALIZO; Kuweni makini na mali mnazowaandika wake zenu!!!
Dah!kwa hyo mkuu ina maana kama kuna mali mke wangu kainunua ndani ya ndoa na ina jina lake tukitalikiana mimi haitanihusu na itasomeka km nilimpa zawadi tu hata kama sikumpa mimi?!
 
Jasho lako kabla ya ndoa ni lakwako pke ako labda kma mlishirikiana kuviendeleza wte ktk kpnd cha ndoa S.38 of Law of marriage Act cap 39 R.E 2002
Isipokuwa tu pale mali hizo zimeendelea kutumiwa na kutunzwa na wanandoa kwa jasho lao wote wawili wakati wa ndoa.
 
Kabla ya kuoa ulikuwa na mali zako ulizomiliki kama nyumba, gari na ardhi(shamba). Ukaja kuoa baadae mkazinguana na mwanamke mkatalikiana.

Sasa katika kugawana mali; je, zile mali ulizochuma kabla ya ndoa zitahusika ktk mgawanyo?! Msaada tafadhali wanasheria wasomi
Kifungu 114 cha Sheria ya ndoa ya 1971,sura ya 29,ya Sheria za Tanzania,inataka mchango wa kila mwanandoa lazima uzingatiwe Wakati wa kugawana Mali iliyochumwa na wanandoa Wakati wa ndoa yao.Kesi ya Bi Hawa Mohamed v Alli Sefu ya 1983,ilileta kanuni ya kutambua shughuli za mama wa nyumbani ambazo siyo mchango wa mwanandoa katika kutafuta Mali.Mali ulizochuma Kabla ya ndoa kuwepo hazihesabiwi kama Mali ya wanandoa,kama mwenzio anadai zimechumwa Wakati wa uhai wa ndoa itachukuliwa kuwa ni kweli hadi pale utakapothibitishwa vinginevyo.
 
Soma hii mkuu
Screenshot_20171229-143330.png
 
Upo sahihi sana
Sheria ya ndoa nadhani ni mojawapo kati ya sheria zinazohitaji kuwa reviewed, ipo biased sana.
Ukiwa na mali yoyote kabla ya ndoa na ikawa imeandikishwa kwa jina lako, itahesabiwa ni yako, ukioa, kama mkeo hajawahi ijua na hajawahi kujishirikisha kwa namna yoyote ktk mali hiyo itahesabiwa ni yako mkitengana, lakini tu, akijishirikisha vyovyote vile na mali hiyo, itahesabiwa amehusika kuiendeleza na mtagawana 50/50.
Mali zote mlizopata mkiwa ktk ndoa, na zikaandikwa jina la mume, mtagawana 50/50, lakini tu, ikitokea mmezipata mkiwa ktk ndoa, na zikaandikishwa kwa jina la mke, itahesabiwa kuwa ulimpa zawadi, na ni "transfer of ownership" na kwakweli hizo hupati hata senti tano.
ANGALIZO; Kuweni makini na mali mnazowaandika wake zenu!!!
Ndani Uko kijijini mwanamke kakukuta na shamba lako la uridhi au umenunua, mmekaa mkilima na k up and a mazao mbalimbali ya kudumu na ya muda, VP nayo hiyo ni moja ya uenderezaji? Kwamba mnagawana wakati mkiachana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom