Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Hizi sheria kwenye nchi hii ni kwa baadhi ya watu, wengine wako juu yazo.
Hivi sheria inasemaje kuhusu raia mwenye ushahidi kumfungulia mashtaka huyu Kamanda muuaji?
hawa form four failure wataelewa hizo sheria zilizowekwa kwa kizungu? Hii nchi wanasheria sijaona kazi yao zaidi ya kuandika hukumu mbili mahakamani ili kupima nani ana hela wampendelee. Kuna mambo mengi sana ya kisheria wanashindwa kutufafanulia sie tuliokariri biology