Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,991
- 144,326
Kama mtandao haujasajiliwa Tanzania,Jamuhuri ina haki na nguvu za kisheria ku-demand taarifa za watumiaji wa mtandao ambao umesajiliwa nje ya nchi?
Msingi wa swali langu ni kutokana na uelewa wangu mdogo katika maswala ya sheria kwamba Sheria ya Makosa ya Mitandao inatumika kwa watumiaji wa mitandao wa ndani ya nchi na mitandao /blogs zilizosajiliwa hapa nchini tu.
Ukitumia mtandao kama wa facebook kufanya makosa ya mtandao na ukajulikana wewe ni fulani na ulifanya kosa hilo ndani ya ardhi ya Jamuhuri ya Muungano bila shaka huwezi kusalimika kwasababu unatumia jina lako halisi(unafahamika) na zaidi unakuwa umetenda kosa hilo ndani ya Ardhi ya Jamuhuri ya Muungano(sina uhakika sana kama Sheria hii ya Makosa ya Mitandao ilipitishwa na Baraza la Wawakilishi Zanzibar ili iweze kutumika upande wa Tanzania visiwani pia)
Swali:
Anaetumia ID fake na akiwa ndani ya Ardhi ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania lakini usajili wa uanachama wake katika mtandao husika umefanyikia online nje ya nchi,Sheria hii ya Makosa ya Mtandao inaweza kumbana mmliki wa mtandao huo kutoa taarifa za mtumiaji wa mtandao husika ili hali server za mtandao huo zilizotumika kumsaji mtumiaji huyo zikiwa ziko nje ya nchi wakati nje ya nchi Sheria hii ya Makosa ya Mtandao haitumiki?
Wanasheria tunaomba mtusaidie hapa.
Msingi wa swali langu ni kutokana na uelewa wangu mdogo katika maswala ya sheria kwamba Sheria ya Makosa ya Mitandao inatumika kwa watumiaji wa mitandao wa ndani ya nchi na mitandao /blogs zilizosajiliwa hapa nchini tu.
Ukitumia mtandao kama wa facebook kufanya makosa ya mtandao na ukajulikana wewe ni fulani na ulifanya kosa hilo ndani ya ardhi ya Jamuhuri ya Muungano bila shaka huwezi kusalimika kwasababu unatumia jina lako halisi(unafahamika) na zaidi unakuwa umetenda kosa hilo ndani ya Ardhi ya Jamuhuri ya Muungano(sina uhakika sana kama Sheria hii ya Makosa ya Mitandao ilipitishwa na Baraza la Wawakilishi Zanzibar ili iweze kutumika upande wa Tanzania visiwani pia)
Swali:
Anaetumia ID fake na akiwa ndani ya Ardhi ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania lakini usajili wa uanachama wake katika mtandao husika umefanyikia online nje ya nchi,Sheria hii ya Makosa ya Mtandao inaweza kumbana mmliki wa mtandao huo kutoa taarifa za mtumiaji wa mtandao husika ili hali server za mtandao huo zilizotumika kumsaji mtumiaji huyo zikiwa ziko nje ya nchi wakati nje ya nchi Sheria hii ya Makosa ya Mtandao haitumiki?
Wanasheria tunaomba mtusaidie hapa.