Mr Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 1,670
- 760
ah sikuelew kabisaa naona unanivuruga tu.
lala ukiamka rudi soma upya utaelewa tu
ah sikuelew kabisaa naona unanivuruga tu.
Huyo ni kama Marie Antoinette.Mkuu achana nayeUngeandika kumshukuru Mungu umezaliwa kwenye ukoo wa wenye nazo. Sisi maskini tungelipiwa na nani? Hata leo hii wakiweka sharti la mkopo ni 75% ya mshahara maskini hana chaguo
I regret to say u may be highly misinformed, hii ishu ya 15% tumeiona kwenye daily news na citizenTaarifa inayosambaa mitandaoni kuhusu kusainiwa kwa mswada unaohusu bodi ya mikopo ni uzushi. Mswada hauzungumzii kuhusu makato ya asilimia 15% kama inavyo trend kwenye media. Na mswada bado huko bungeni huajasainiwa na raisi kuwa sheria.
ingia kwenye website ya bunge utakubaliana na mimi, link hii hapa chini
Bunge Polis
NB: LABDA KAMA KUNA MSWADA MWINGINE TOFAUTI NA HUU ULIOSAINIWA NA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI TAREHE 13/10/2016
Muswada huu unapendekeza kufanya marekebisho katika sheria zifuatazo
1: Sheria ya Mikopo,Misaada na Dhamana, Sura ya 134;
2:Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Sura ya 178;
3:Kodi ya Mapato, Sura ya 332;
4: Sheria ya Ardhi, Sura ya 113;
5:Sheria ya Barabara na Tozo za Mafuta, Sura ya 220 na
6:Sheria ya Tasnia ya Sukari, Sura ya 251
7:Sheria ya Uhifadhi wa Wanyamapori, Sura ya 283.
Aidha katika kipengele kinachohusu sheria ya mikopo mswada unapendekeza marekebisho katika Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Sura ya 178. Marekebisho haya yanakusuidia kuruhusu wanafunzi wa stashahada na stashahada ya uzamili(diploma or higher diploma) katika fani ambayo Waziri ataamua ili kupata mikopo inayotolewa kwa wanafunzi wa elimuya juu kwa kuzingatia vipaumbele vyaTaifa.
"NAWASHAURI WATANZANIA HASA VIJANA TUSIAMINI SANA MITANDAO, WAKATI MWINGINE INATUMIKA VIBAYA KUPOTOSHA. TUJENGE UTAMADUNI WA KUPROVE MAMBO KABLA YA KUYAAMINI"
Hapana mkuu wameanza kukata mwezi january 2017.Hiyo source imekaa kinafiki sana itakuwa bavicha
We umekatwa tayari hiyo 15%?Hapana mkuu wameanza kukata mwezi january 2017.
Tayari mkuu! Lazima tulipe si tulikopeshwa na kazi tunazo!We umekatwa tayari hiyo 15%?
Mmmmmmmm!!!! Oooooh MUNGU uliye Mkuu kuliko miungu yote, tunakuomba utusaidie.Siipendi hii serikali inatueletea mateso makubwa.Halafu anasema amechaguliwa na mungu na tumuombee! hivi ni mungu gani katili hivi?