Sheria ya kuruhusu wenye mimba kuendelea na masomo,je imejaribu kutazamwa kwa upande wa mtu aliyesababisha hiyo mimba?

Mwanafunzi wa kiume haendi jela kwa kumpa mimba mwanafunzi mwenzie, hii ni tangu zamani
mwanafunzi wa kiume kama amezidi miaka 18 akimpa mimba msichana anashitakiwa na anaweza kufungwa miaka 30. ondoa uongo kwamba mwanafunzi hashitakiwi au hafungu, mwanafunzi asiyefungwa gerezani ni wa chini ya 18 years.
 
Kutembea na mtu chini ya 18 years ni ubakaji, labda na wewe uwe under 18. So hupelekwi jela miaka thelathini sababu ya kubebesha mimba, bali sababu ya kubaka.
na kubebesha mimba pia ni kosa kama umefanya kwa mwanafunzi yeyote wa sekondari kushuka chini. manake hata kama binti ana miaka 20 lakini ni mwanafunzi wa sekondari kwa mfano, ukimtia mimba unaenda miaka 30. sambamba na statutory rape ya kufanya ngono na underage.
 
na kubebesha mimba pia ni kosa kama umefanya kwa mwanafunzi yeyote wa sekondari kushuka chini. manake hata kama binti ana miaka 20 lakini ni mwanafunzi wa sekondari kwa mfano, ukimtia mimba unaenda miaka 30. sambamba na statutory rape ya kufanya ngono na underage.
Ila hii ya mwanafunzi wa 20 years naona sheria inaonea. Mtu wa kupiga kura huyu, mtu mzima. Hapo inaruhusu mtoto wa 14 kuolewa. Kunahitajika mabadiliko kwa hizi sheria.
 
Ila hii ya mwanafunzi wa 20 years naona sheria inaonea. Mtu wa kupiga kura huyu, mtu mzima. Hapo inaruhusu mtoto wa 14 kuolewa. Kunahitajika mabadiliko kwa hizi sheria.
wanawake wamehamasisha wee hadi bunge likaitunga miaka ya hivi karibuni. wanawake huwa wanafikiri wanatukomoa wanaume, kumbe wanakomoa watoto wao wenyewe. ajabu yake ukienda mahakamani wakati vijana wa kiume wanafungwa kwa ubakaji na utiaji mimba, wanawake ndio wanalia zaidi kwa vijana wao wa kiume kupelekwa gerezani, wamesahau kuwa wao ndio wanasababisha sheria zitungwe wakidhani wapo kwenye mashindano au vita na wanaume, kumbe walikuwa wanaweka mtego utakaowaumiza na wao wenyewe.tangu enzi za beijin conference hadi leo, miwanawake ya kitanzania hasa hiyo iliyosoma huwa inaamini ipo kwenye vita na wanaume, hasira zao na chuko dhidi ya wanaume huwa wanawahamasisha na wanawake wengine ambao hata hawaelewi wanaunga tela kushabikia mamb yanayokuja kuumiza watoto wao wenyewe.
 
Haya mambo ya sheria sijui ya poje...

Mim nimemtia mwanafunzi mimba,baba mkwe wangu (mzaz wa mtoto) anakubali vipi mkwewe Mim niende jela miaka 30 !?
 
Sheria ya kuruhusu wenye mimba kuendelea na masomo,je imejaribu kutazamwa kwa upande wa mtu aliyesababisha hiyo mimba??

Wakati huyo mwanafunzi analea, mimba yake akiwa darasani je, huyo aliyetungisha, mimba atakuwa wapi?

Sheria itaruhusu mwenye mimba kuendelea na Masomo kwa kujiamulia tu au kuna taratibu za kimahakama zitafuatwa kwanza???

Msababisha mimba yeye atakua wapi wakati huo?

Na kama ikijulikana msababisha mimba ni mwanafunzi mwenzake wa kiume na yeye ataruhusiwa kuendelea na Masomo?? Kama inavyoelezwa kwenye orodha ya haki za binadamu kwamba elimu ni haki ya mtoto.

Na ile sheria ya miaka 30 sasa ndio itaendelea kama vilevile au ndio imefikia kikomo??
Kwani hii sheria iliwekwa lini!? Je iko ndani katiba au alijiamkia mtu akaitamka iwepo kwa mamlaka yake.!?
Katiba mpya ni muhimu sana!!
Yaani walikuwepo wakaitikia na makofi kwa wingi leo Uturn!.
 
Ukiona imetokea ukafungwa Miaka 30 jela kwa kosa la kutiana mimba.Tambua

(1) Mwanamke mwenyew hajakuelewa (hajakupnd) lazim atakuchoma tu ktk familia yake na Ukiingia kweny 18 za mahakama umekwisha.

(2)Wazazi wa mtoto wakiume endapo hawakufay mawasiliano ya haraka na familia ya mtoto wakike,basi familia yake haitaona umuhimu wa mtoto wa kiume kutamba mtaani.
Hapo Miaka 30 itakuhusu ukiwa na bahat mbaya.

(3)Washika dau,hawa ni wale watu wa pembeni na familia ya mtoto wa kike wadau hawa wakimuandama mama mtoto alietiwa mimba,na akakubali ni sawa alietia mimba kupotezwa umekwishaa...

(4)Nasibu, bahati nasibu. Ikiwa ni bahati yako mbovu,miaka 30 mtu unafungwa hiv hiv unajiona. yani kama unaonelewa kumbe ndio unaenda kufungwa kweli hivyo.

(5)Nimara chache sana mtu kufungwa miaka 30 jela kwa kesi kama hiz za kutiana mimba,Nikesi ambazo zinaishia vikao sebuleni kuisha makali yake.

Kweli sheria ipo ktk nchi yetu na inafany kazi lakin naweza sema nisheria ambayo inaleta ukinzani sana hasa ktk familia tajir na masikini.

familia za kitajiri zipo baadhi ni mbaya ukijichangay umekwisha. Zingine starabu zinaelewa hali halisi vile ilivyo wataamua mtoto wao ajifungue badae ataendelea masomo.
 
Ukiona imetokea ukafungwa Miaka 30 jela kwa kosa la kutiana mimba.Tambua

(1) Mwanamke mwenyew hajakuelewa (hajakupnd) lazim atakuchoma tu ktk familia yake na Ukiingia kweny 18 za mahakama umekwisha.

(2)Wazazi wa mtoto wakiume endapo hawakufay mawasiliano ya haraka na familia ya mtoto wakike,basi familia yake haitaona umuhimu wa mtoto wa kiume kutamba mtaani.
Hapo Miaka 30 itakuhusu ukiwa na bahat mbaya.

(3)Washika dau,hawa ni wale watu wa pembeni na familia ya mtoto wa kike wadau hawa wakimuandama mama mtoto alietiwa mimba,na akakubali ni sawa alietia mimba kupotezwa umekwishaa...

(4)Nasibu, bahati nasibu. Ikiwa ni bahati yako mbovu,miaka 30 mtu unafungwa hiv hiv unajiona. yani kama unaonelewa kumbe ndio unaenda kufungwa kweli hivyo.

(5)Nimara chache sana mtu kufungwa miaka 30 jela kwa kesi kama hiz za kutiana mimba,Nikesi ambazo zinaishia vikao sebuleni kuisha makali yake.

Kweli sheria ipo ktk nchi yetu na inafany kazi lakin naweza sema nisheria ambayo inaleta ukinzani sana hasa ktk familia tajir na masikini.

familia za kitajiri zipo baadhi ni mbaya ukijichangay umekwisha. Zingine starabu zinaelewa hali halisi vile ilivyo wataamua mtoto wao ajifungue badae ataendelea masomo.
Mkuu hapa tunazungumzia sheria, hicho unachozungumza hapo ni upindishaji wa sheria unaohamasisha mimba kwa watoto.
 
Nuna, kasirika, foka, lakini mtoto wa kike lazima apate elimu bila ya ubaguzi wowote ule.
89a_.jpg
 
Back
Top Bottom