Sikiliza kodi ambazo mchina anataka afutiwe ili ajenge hiyo bandari; sasa unadhani itawezekana vipi bila ya waziri kuwa na mamlaka ya kufanya ivyo.
Huyu mama ni tatizo I am telling you amezungukwa na mafisadi ambao wanamuhakikishia miaka 10 bila ya kujua na wao wana agenda zao.
Acha kubeti wewe ,Toka kwny kivuli cha Hayati mwendazake uishi kwa amani.