Sheria ya Kubaka na kuambukiza VIRUSI

Aloysius

Member
Mar 1, 2011
80
9
Kuna wanao fikiri kuwa kubaka ni kubaka tu hata kama aliyebaka kamuabukiza virusi aliyembaka, lakini pale mtu anapo ambukiza virusi huwa na makosa mawili. Kubaka na kuambukiza virusi vya UKIMWI kwa makusudi. wewe unafkiri nini?
 
Kuna wanao fikiri kuwa kubaka ni kubaka tu hata kama aliyebaka kamuabukiza virusi aliyembaka, lakini pale mtu anapo ambukiza virusi huwa na makosa mawili. Kubaka na kuambukiza virusi vya UKIMWI kwa makusudi. wewe unafkiri nini?
Katika Sheria ya ukimwi kuna kosa la kumwambukiza mtu ukimwi kwa makusudi.
 
Back
Top Bottom