Sheria ya kelele: NEMC yatangaza rasmi kiama kwa wachafuzi wa kelele kwenye makazi ya watu

acha ujinga! mtu akupigie vuvuzela masikioni halafu useme kuvumiliana, MTU afunge spika usiku kucha halafu useme uafrika kuvumiliana; kwanza waafrika tul8shi msituni hakukuwa na sabufa wala disco
Hujui historian wewe alafu so ajabu umepata vihela ukubwani unajiona mjanja sana. Waafrika tulikuwa aka tumekuwa na Ngoma za asili zilizokuwa na sauti hats kuweza kuvuta watu kutoka mbali ili kushiriki. Soma kitabu cha Song of Lawino and Ocol tofauti kati ya African dance na European dance ikiwa umepita Shule kidogo. Wewe unasemea kelele za vuvuzera ila kumbuka kisheria jambo lolote lisilomuhusu mwingine na kumsababishia usumbufu wowote kwa kuvuka kwa mipaka yako ni nuisance iwe vuvuzera au la. Soma sheria. Ujinga wenu mmelenga watu Fulani kisha mnakimbia uhalisia. Unakunya ila harufu ya kijampo inakukera huu ni upumbavu na wazimu Mkubwa.
 
kwa kuanzia sheria na kanuni hizi zimetaja kutogusa ibada fupi kama zile za azana ambazo ni za dakika 1 hadi 5
Mkuu nakaa jirani na msikiti ni kero balaa. Wanaanza saa kumi alfajir wanatumia km dk 5 wanakuja kuliamsha tena 11 kasoro hapo ndo balaa lake Hadi saa 12. Ni mikelele alaf kibaya zaidi haieleweki wanaongea nn.
 
Bora aiseeee. Kuna nyumba nilihama juzi juzi kwa sababu ya makelele ya kipumbavu
 
acha ujinga! mtu akupigie vuvuzela masikioni halafu useme kuvumiliana, MTU afunge spika usiku kucha halafu useme uafrika kuvumiliana; kwanza waafrika tul8shi msituni hakukuwa na sabufa wala disco
Kuna mtu alikuja kukupigia masikioni mwako? Hiyo usiku kucha ni special occasion ambayo hata kwako inaweza kutokea kwani inapigwa kila siku?
 
As

Asante Mjumbe. Unajua kuna life style tunaiga za kishenzy sana. Tumeshindwa kuvumiliana sasa tunataka kujawa na wazimu wa kizungu. Afrika haiko hivi tunaishi kwa kuvumiliana sana na ndio utamaduni wetu sasa tukitaka kujawa na wazimu utakuwa wazimu kweli. Naona kanuni uchwala zinaanza kuwapendelea waislamu ati wako ni dakika 4 mpaka 5. Ni nani yuko ana interest na wanachokifanya?. Kama sio kuvumiliana tu.
Tehe tehe!
Haupo interested kuitwa na kuabudu?
 
Kumbuka sio makanisa tu hata harusi, komuniyo,kipaimara,ibada za Iddi,birthdays hawa hutumia subwoofer au kingine chochote kile kinachotoa sauti inayovuka uzio wa Nyumba yako na kuwafikiwa wengine. Sheria hukata kote. Wazungu ndio wamechemka amjasikia wale walioenda mahakamani kwa kuwika kwa jogoo. Kama tumeshindwa kuvumiliana ulimwengu utajaa wazimu. Tulivyo wajinga tunaona makanisa tu hatujui hata ma subwoofer ya kichina nayo yanasababisha noise pollution.
Hata simu za Kichina
 
Hao hao viongozi wa serikali nfio wanaojileta tuwaombee usiku kucha kwa makelele kedekede
Kwani hao ndo Wana waaambieni mpiye mitaani na isoika mikubwa mikubwa kutupigia kelele na mwisho kulazimisha mchango wa betri
 
Back
Top Bottom