Sheria inasemaje katika hili?

mahirtwahir

JF-Expert Member
Jan 12, 2013
613
311
Habari waungwana.
Naomba msaada wenu wadau

Mimi ni muajiriwa wa Serekali niliajiriwa kwa cheti cha Form Four tuuu nikiwa kma muhudumu nami nikaamua kujiendeleza kimya kimya Bila muajiri wangu kujua wala sikuathiri shuhuli za utendaji katika nafasi yangu nilikua nikisoma week end tuuu.

Sasa nimempelekea muajiri wangu cheti cha Diploma in Accountancy ili anifanyie mabadiliko ya mshahara tuu sina ulazima wa kubafilishwa kada.

Ila muajiri wangu kanijibu kua ingekua vyema ningejiendeleza katika fani nilioajiriwa nayo na ataniengeza mshahara mwezi wa 7 katika bajeti ya 2018/2019 ila hadi sasa hajaniongeza nilipomuandikia tena barua kaniambia kua ili niengezwe mshahara ni lazima nibadilishe kada.

Siwezi kulipwa kulingana na elimu ya diploma wakato ni muhudumu.

NB. Taasisi yangu inajishuhulisha na mambo ya kifedha nimesoma kada hio kwa sababu ya kujua kua watu wa fani hio hawatoshi katika ofisi zetu
 
Employment scheme Ya "taasisi"yenu inasemaje? Fanya research kisha mkabili mwajiri wako kwa hoja.
 
Habari waungwana.
Naomba msaada wenu wadau

Mimi ni muajiriwa wa Serekali niliajiriwa kwa cheti cha Form Four tuuu nikiwa kma muhudumu nami nikaamua kujiendeleza kimya kimya Bila muajiri wangu kujua wala sikuathiri shuhuli za utendaji katika nafasi yangu nilikua nikisoma week end tuuu.

Sasa nimempelekea muajiri wangu cheti cha Diploma in Accountancy ili anifanyie mabadiliko ya mshahara tuu sina ulazima wa kubafilishwa kada.

Ila muajiri wangu kanijibu kua ingekua vyema ningejiendeleza katika fani nilioajiriwa nayo na ataniengeza mshahara mwezi wa 7 katika bajeti ya 2018/2019 ila hadi sasa hajaniongeza nilipomuandikia tena barua kaniambia kua ili niengezwe mshahara ni lazima nibadilishe kada.

Siwezi kulipwa kulingana na elimu ya diploma wakato ni muhudumu.

NB. Taasisi yangu inajishuhulisha na mambo ya kifedha nimesoma kada hio kwa sababu ya kujua kua watu wa fani hio hawatoshi katika ofisi zetu
Muajiri yuko sahihi ajira yako ni muhudumu na ukaonyesha cheti cha form four.Mshahara anakulipa wa uhudumu.Kama umejiendeleza kwa kuchukua kozi nyingine subiri nafasi zitangazwe kisha uombe kwa hiyo diploma yako.
 
Muajiri yuko sahihi ajira yako ni muhudumu na ukaonyesha cheti cha form four.Mshahara anakulipa wa uhudumu.Kama umejiendeleza kwa kuchukua kozi nyingine subiri nafasi zitangazwe kisha uombe kwa hiyo diploma yako.
Au aombe kufanyiwa recategorization kutoka cheo cha muhudumu kwenda kada ya uhasibu kama kutakuwa na nafasi ktk kada ya uhasibu.

Kimsingi, hata akiwa na Masters halafu cheo chake ni muhudumu au mlinzi (operational service staff) ataendelea kulipwa mshahara wa mlinzi/mhudumu tu ambao sifa kuu ni cheti cha kidato cha nne.
 
Pole sana...

Ila ofisi au kampuni nyingi, wanapenda muajiriwa ajiendeleze kwenye kazi aliyoajiriwa nayo au anayoifanya...

Mfano una Diploma ya maembe na unafanya kazi kwenye department ya maembe, na ukaamua kwenda kuongeza ujuzi ila ukachukua degree ya mapapi...

Muajiri hawezi kushughulika na wewe kwa lolote...



Cc: mahondaw
 
Pole sana...

Ila ofisi au kampuni nyingi, wanapenda muajiriwa ajiendeleze kwenye kazi aliyoajiriwa nayo au anayoifanya...

Mfano una Diploma ya maembe na unafanya kazi kwenye department ya maembe, na ukaamua kwenda kuongeza ujuzi ila ukachukua degree ya mapapi...

Muajiri hawezi kushughulika na wewe kwa lolote...



Cc: mahondaw
Au sio degree ya maembe Na mapapai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom