Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Naomba kujua ile sheria ya kutunza mazingira ya ziwa kama Victoria ambayo zamani tulijua inasema ni meta 30 na siku hizi baadhi ya mamlaka zinasema ni meta 60 inasemaje? Hizi meta 60 au 30 ni kwa ajili ya water related activities kama kuweka kambi za wavuvi na ku park vyombo vya majini au ni kwa ajili ya utunzaji wa mazingira dhidi ya uharibifu unaotokana na man related activities. Namba kuelimishwa inamaanisha nini, ni sheria no ngapi, naweza kuipata vipi.