Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,455
- 29,134
Ndugu wapendwa,
Kuna suala moja naona kama lina walakini, na ningepata wasaa ningemshauri Waziri wa Ardhi aliangalie kwa makini.
Mtu umejipinda ukapata pesa kidogo ukaingia maeneo ya Mbezi, Bonyokwa, Goba n.k kutafuta kipande cha Ardhi ili ujenge maana kodi haziaminiki mjini.
Unamalizana mwenye ardhi na kupitia michakato yote pale kijijini ili isiwe tabu baadae.
Kwakua hutaki shida unakwenda ardhi ili kukipima upewe hati kabisa,
Cha ajabu watu wa arhi wanakuja kukuambia kua kwa mujibu wa "Master Plan" ya mji, hapo ulipopata ni eneo la wazi/soko/barabara,
Swali langu ni kua, kwanini basi hizo master plan zisiwekwe huko kijijini ili kila anaenunua ajue hukohuko kua kaliwa?
Serikali ya kijiji inakupitisha kununua kwamba ni mahali halali,
Serikali kuu inakuja kukuambia kua sio, hapa imekaaje?
Kuna masuala ya kuchukua location ya eneo (GPS) ili ukapate uweli kuhusu hilo eneo wizarani, but ni wangapi wanajua kuhusu hii kitu?
Ni kweli unaweza kuomba amendment ya hiyo plan ikafanikiwa?
Kuna suala moja naona kama lina walakini, na ningepata wasaa ningemshauri Waziri wa Ardhi aliangalie kwa makini.
Mtu umejipinda ukapata pesa kidogo ukaingia maeneo ya Mbezi, Bonyokwa, Goba n.k kutafuta kipande cha Ardhi ili ujenge maana kodi haziaminiki mjini.
Unamalizana mwenye ardhi na kupitia michakato yote pale kijijini ili isiwe tabu baadae.
Kwakua hutaki shida unakwenda ardhi ili kukipima upewe hati kabisa,
Cha ajabu watu wa arhi wanakuja kukuambia kua kwa mujibu wa "Master Plan" ya mji, hapo ulipopata ni eneo la wazi/soko/barabara,
Swali langu ni kua, kwanini basi hizo master plan zisiwekwe huko kijijini ili kila anaenunua ajue hukohuko kua kaliwa?
Serikali ya kijiji inakupitisha kununua kwamba ni mahali halali,
Serikali kuu inakuja kukuambia kua sio, hapa imekaaje?
Kuna masuala ya kuchukua location ya eneo (GPS) ili ukapate uweli kuhusu hilo eneo wizarani, but ni wangapi wanajua kuhusu hii kitu?
Ni kweli unaweza kuomba amendment ya hiyo plan ikafanikiwa?