CodeMaster
Member
- Sep 15, 2008
- 5
- 0
Mbona hawa wakenya sasa hivi wapo kila mahali,sasa hivi hata mfagiaji ni mkenya. Imekwenda wapi sheria ya ajira kwa wazawa,na sisi mbona tukienda kwao hatupati nafasi hii. Kibaya zaidi akiingia mkenya mmoja basi baada ya mezi sita watakuwa watatu. Historia ya elimu zao n i utata mtupu wengi wana degree za education na wengine diploma. Vipi hakuna watanzania wenye sifa hizi. AU TULIANZISHE LA SOUTH AFRICA,KUDAI HAKI ZETU ZA KUZALIWA NDANI YA NCHI HII NA HAKI YETU YA NAFASI ZETU ZA KAZI?????