"Sheria ni Msumeno"

Sawa.Tusubiri utabiri wako utakavyopambana na ukweli na haki.
Mimi sitabiri wala sio mtabiri.
Bali unapaswa utambue kuwa Haki ni Haki tu, inaweza kuwa kifungo jela au kuachiwa huru.
tatizo la wafuasi wa Mbowe kwa wao ili waone kuwa mbowe katendewa Haki ni kuachiwa huru tu! sio kifungo!!.
Haki ni kukubali kupokea matokeo yoyote yale yaliyo amuliwa na Mahakama.
nafahamu kuwa wafuasi wa Mbowe sio kwamba hawalijui hilo ila wanafanya makusudi ili kuishinikiza mahakama imuachie huru bila kuzingatia sheria!!
hilo sio ktk utawala wa sheria.
 
Mimi sitabiri wala sio mtabiri.
Bali unapaswa utambue kuwa Haki ni Haki tu, inaweza kuwa kifungo jela au kuachiwa huru.
tatizo la wafuasi wa Mbowe kwa wao ili waone kuwa mbowe katendewa Haki ni kuachiwa huru tu! sio kifungo!!.
Haki ni kukubali kupokea matokeo yoyote yale yaliyo amuliwa na Mahakama.
nafahamu kuwa wafuasi wa Mbowe sio kwamba hawalijui hilo ila wanafanya makusudi ili kuishinikiza mahakama imuachie huru bila kuzingatia sheria!!
hilo sio ktk utawala wa sheria.
Niliandika,sawa.
 
Mbowe yeye anatuhumiwa kupanga mipango miovu ya kuvuruga AMANI YA nchi.
sasa wewe jiulize mtu anaye taka kuvuruga amani ya nchi unajua madhara yake ni makubwa kiasi gani?! ni hatari kubwa sana na kama akikutwa na hatia anastahili adhabu kali zaidi ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wanao jaribu kuchezea amani ya nchi
yaani huwezi kulinganisha makosa ya unyanganyi, n.kna makosa ya mbowe ya kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi, Amani ya nchi ndio inayo tufanya leo tunafurahia haki kutendeka, amani ya nchi ndio mpango mzima, leo hii Mbowe na Genge lake la kihalifu wanadaiwa kupanga njama za kuvuruga amani ya nchi iliyo tengenezwa na kulindwa kwa zaidi ya miaka 60!!
Amani ya nchi yetu ni ya thamani kubwa sana kuliko mbowe au mtu yeyote yule, atakaye bainika kuchezea amani yetu atashughulikiwa bila huruma.
Ugaidi wa wapinzani wa tz turejee case ya rwakatare.
 
Mimi sitabiri wala sio mtabiri.
Bali unapaswa utambue kuwa Haki ni Haki tu, inaweza kuwa kifungo jela au kuachiwa huru.
tatizo la wafuasi wa Mbowe kwa wao ili waone kuwa mbowe katendewa Haki ni kuachiwa huru tu! sio kifungo!!.
Haki ni kukubali kupokea matokeo yoyote yale yaliyo amuliwa na Mahakama.
nafahamu kuwa wafuasi wa Mbowe sio kwamba hawalijui hilo ila wanafanya makusudi ili kuishinikiza mahakama imuachie huru bila kuzingatia sheria!!
hilo sio ktk utawala wa sheria.
Wewe unaishi TANZANIA?
Mwanahlisi
Mawio
Yamefungiwa kwa sababu gani haswa.
Rostam azizi
Lowasa ( walimuita Jpm lumumba alienda? Alienda kama nani na alikuwa jabl l wakati huo?) Ulishawahi kujiuliza?
Nape nauye
January jr
Makamba mkubwa
Unwajua?
Walipaswa kuomba msamaha kwa Jpm Walikosea nn???
Jifunze kutafsir mzee. Acha kubashiri mambo
Membe anarudi?
Umekuja lini mjini???
 
Sheria ni msumeno.
kazi ya msumeno unakata mbele na nyuma.
bila kujali ni nani anakatwa.
sote tuko sawa mbele ya sheria.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom