Segekid
New Member
- Jun 30, 2020
- 1
- 0
Je, iwapo mtumishi wa Serikali akafariki mshahara wake utaendelea kuingia au lah.
Iwapo alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Serikali, utaratibu gani unatumika kuiondoa familia yake kwenye nyumba ya Serikali na utaratibu wa mirathi.
Wajuzi wa Mambo hayo naomba mtusaidie kwa manufaa ya Jamii nzima.
Iwapo alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Serikali, utaratibu gani unatumika kuiondoa familia yake kwenye nyumba ya Serikali na utaratibu wa mirathi.
Wajuzi wa Mambo hayo naomba mtusaidie kwa manufaa ya Jamii nzima.