cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Imekuwa ni ndoto yangu ya muda mrefu ku-adopt mtoto yatima awe wangu kabisa nimlee, kumsomesha na kumfanyia yote anayostahili kufanyiwa mtoto! Sasa naona nina uwezo na muda wa kuitimiza ndoto yangu!
hivyo naomba kujulishwa sheria na taratibu za kuasili/adopt mtoto hapa Tanzania!
Je, niende wapi kwa ajili ya kufanikisha jambo hili!
natanguliza shukrani!
hivyo naomba kujulishwa sheria na taratibu za kuasili/adopt mtoto hapa Tanzania!
Je, niende wapi kwa ajili ya kufanikisha jambo hili!
natanguliza shukrani!