Sheria mpya ya mawasiliano ya ki-electronic na posta yaja...

MtazamoWangu

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
313
7
WADAU KUNA MJADALA UNAENDELEA KUHUSU SHERIA MPYA ZA MAWASILIANO YA SIMU NA POSTA...KAMA KUNA MDAU MWENYE DETAILS ZA MUSWAADA ATUPATIE....NIMEPATA VIPENGELE VIWILI AMBAVYO VIMEKUWA MOTO KATIKA MSWAADA HUO....

26-(3) Every licensee shall within three years from the commencement of this Act and in accordance with requirements of the Capital Stock MArket and Securities Act, be required to list local shares with the stock market.

debate iliyopo ni kwamba kwanini local shareholders walazimishwe wakalist shares zao kwenye soko la hisa na mitaji bila consent yao???

-(4) In disposing of lical shares listed or registered with the stock market, the licensee shall sell the local shares to the Tanzanians in accordance with the procedures presribed in the regulations.

hapa ndio kazi maana mtu kama Rostam Aziz atakufa na mtu...

kwenye kipengere cha kuregister simu ndio kuna madudu mengi sana, nitajitahidi nikipata muswada ni uweke hapa...ila kuna sehemu moja

"89. Any subscriber who sells his mobile telephone to to other subscriber shall report change of ownership of the mobile telephone"

kwa uzoefu wetu sijui....mana hapa magari tu tunauzuian juu kwa juu..na hata ukienda kijijini ukiamua umpe zawadi babu yake ile simu yako inabidi uje utoe taarifa.....


huu muswaada bado unajadiliwa na kamati ya wabunge mpaka sasa....na waziri katika kujibu mapendekezo ya wadau, anakubaliana na sheria hiyo kama ilivyo....

nawakilisha....
 
"89. Any subscriber who sells his mobile telephone to to other subscriber shall report change of ownership of the mobile telephone"

Kama hii iko ndani ya kwenye mswada then tuna matatizo... it is very clear that mobile handset and sim card are two different things!

Na sijawahi kusikia kuna watu wanauziana line... SIM CARD. by the way hata SIM CARD zingekuwa zinauzwa... lakini line from telecom itakuwa already register to a specific person and that is not tranferable.
 
2010-01-18 09:26:00
New postal delivery system to be launched today
By Zephania Ubwani, Arusha
THE CITIZEN

A new postal address system for Tanzaniato replace the old mail boxes will be officially launched here today.

Under it, mails and parcels transported through the normal postal networks will be delivered to residential and business premises which will have post codes. President Jakaya Kikwete is expected to officially launch the New National Addressing and Postcodes project which has been piloted in Arusha since 2008.

The minister for Communications, Science and Technology Prof Peter Msolla told reporters here yesterday that implementation of the project would take five years.

Phase One slated for 2010 and 2011 will cover the municipalities, towns and district headquarters while the second phase will be implemented in villages and informal settlements in urban areas.

The multi-billion shilling project pioneers the implementation of a street-type addressing system with postcodes and the creation of a national address database.

"It will involve naming and identification of streets and numbering all houses in accordance with new addressing standards," he said. The street-type postal addressing system has been initiated at a time the use of traditional mail delivering system through the post offices has gone down steeply.

Messages related through letters have now been replaced by different forms of electronic communication such as e-mails, SMS and telephones.

While an average Tanzanian writes less than one letter a year, the rate of telephone penetration in the country has gone up to 33 per cent.

Competition from the electronic communication as well as declining financial support from the government has also dealt a blow to the state-owned Tanzania Postal Corporation.

The country of 40 million people has only 173,000 mail boxes in 250 post offices, meaning communication through the system has little significance now unlike in the past.

According to Prof Msolla, implementation of the project was estimated to cost Sh.18bn when its pilot phase started in Arusha two years ago but now likely to have gone up. He allayed fears with a new postal address system, the existing post offices would become redundant.

"Postcodes will also be allocated to specific post office establishment and major customers," he pointed out. He added, however, with the introduction of the new system the traditional postal services must be improved.

Introduction of the new postcode system, which is already in operation in some African states, will principally involve TPC and the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA).

"The country will be divided into postcode areas a five digit postcode system will be used in identifying areas up to the ward level,"he said. The minister implored on stakeholders in the communication sector to cooperate in developing the system, saying it would have significant positive impact in the society.

It would also enhance the effectiveness and efficiency of universal postal services in the country such as movement of letters, packets, parcels and financial services.

Mr Deos Mndeme, the acting post master general admitted that the postal sector in Tanzania, just like elsewhere in the world, was facing genuine challenges. These have been precipitated by, among others, the liberalisation of markets, advancement of technology and competition from other players in the market.

But he insisted that the basic and traditional postal services will continue and that it was not gravely threatened by other players in the industry. He said the postal service would embrace electronic technology in money transfer services and in tracing and tracking letters, packets and parcels sent through its network.

"In all our postal network would be improved and modernised to catch up with the rest of the world, he added. Globally there are 660,000 post offices, among them 250 in Tanzania.
 
2010-01-18 09:26:00
New postal delivery system to be launched today
By Zephania Ubwani, Arusha
THE CITIZEN

A new postal address system for Tanzaniato replace the old mail boxes will be officially launched here today.

Under it, mails and parcels transported through the normal postal networks will be delivered to residential and business premises which will have post codes. President Jakaya Kikwete is expected to officially launch the New National Addressing and Postcodes project which has been piloted in Arusha since 2008.

The multi-billion shilling project pioneers the implementation of a street-type addressing system with postcodes and the creation of a national address database.



Competition from the electronic communication as well as declining financial support from the government has also dealt a blow to the state-owned Tanzania Postal Corporation.

The country of 40 million people has only 173,000 mail boxes in 250 post offices, meaning communication through the system has little significance now unlike in the past.



"The country will be divided into postcode areas a five digit postcode system will be used in identifying areas up to the ward level,"he said. The minister implored on stakeholders in the communication sector to cooperate in developing the system, saying it would have significant positive impact in the society.

But he insisted that the basic and traditional postal services will continue and that it was not gravely threatened by other players in the industry. He said the postal service would embrace electronic technology in money transfer services and in tracing and tracking letters, packets and parcels sent through its network.

"In all our postal network would be improved and modernised to catch up with the rest of the world, he added. Globally there are 660,000 post offices, among them 250 in Tanzania.

Is this a sign that the Postal Sevices are now awakening from their deep slumber over yhe years?
Surely, if they do not keep up with the pace of electronic communications advance in the world they are doomed, and will become extinct as the dinosaurs.
The demise of Postal Services in the country has been speeded up by mail theft, general laissez-faire,and the I-dont-care-the -least kind of approach to customer complaints on poor services.
No wonder there are now many mushrooming courier services in the country that are much more efficient and trustworthy.
Today, I can be sure , as the sun will rise tommorrow, that if I send a parcel by Sumry Transporters , say to Mbeya , then it will be in Mbeya in two days time, and with no hassles.
Not to say the least, the Postal Services are being beaten at their own game.
 
Bongo bana.................

Why all these projects this year? Kuna nini? Kwa sababu Tanzania ni zaidi ya uijuavyo tega sikio na usihofu kuwa na mashaka.............


Bilioni 73 kusajili wazawa nchini


James Magai - mwananchi


ZAIDI ya Sh 73bilioni zinatarajiwa kutumika katika utekelezaji Mpango wa Kitaifa wa Usajili wa Uzawa nchini, hasa Tanzania Bara ambao unatarajiwa kuanza mapema mwaka huu hadi kukamilika kwake.

Kwa mujibu wa mpango huo wa miaka mitatu utakaoendeshwa na Wakala wa Usajili wa Vizazi, Vifo, Udhamini na Ufilisi (Rita), hadi kufikia mwaka 2013 watu wote nchini watakuwa wamepata usajili wa uzawa.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango huo jijini Dar es Salaam, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Rita Phillip Saliboko, alisema wakala huyo anatambua usajili wa vizazi katika nchi yoyote ile unakamilisha moja ya haki za msingi za binadamu ambayo ni kutambuliwa kwa kuhusisha jina la mtoto, wazazi, umri na utaifa.

“Kwa kutambua umuhimu huo Rita imeanzisha na imedhamiria, kuanzisha na kutekeleza mradi wa miaka mitatu unaoitwa Universal Birth and Death Registration Project."

"Mpango huo una dhamira ya kuhakikisha kuwa kila raia wa Tanzania Bara anasajiliwa."

Alifafanua kwamba, mradi huo utawezesha kupata takwimu muhimu ambazo zitasaidia kwa matumizi mbalimbali kama utoaji wa Vitambulisho vya Taifa, shahada za kupigia kura, mfumo wa elimu, na kukuza uwezo wa usajili wa vizazi kitaifa , kiwilaya na ngazi ya vijiji.

Akizungumzia utekelezaji wa mradi huo, Saliboko alisema utakuwa wa awamu tatu kuanzia mwaka huu na kwamba, katika kipindi cha mpango huo, usajili na utoaji wa vyeti kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano utafanyika bure lakini umri kuanzia miaka mitano na kuendelea watagharamia Sh3,500 tu.

Saliboko aliongeza kwamba, awamu ya kwanza itaanza mwaka 2010 hadi 2011, ikihusisha wilaya 15 za majaribio, awama ya pili itaanza mwaka 2011 hadi 2012 ambazo zitahusisha jumla ya wilaya 50, awamu ya tatu na ya mwisho, itaanza mwaka 2012 hadi 2013 ambazo, zitahusisha wilaya 62 na kukamilisha wilaya zote nchini.

Naye Mkurugenzi wa Sheria wa Rita Emmy Hadson, alisema mpango huo ni matokeo ya marekebisho ya Sheria Namba 30 ya mwaka 1997, iliyoanzisha Rita, ambayo inaweka bayana usajili wa vizazi na vifo ni suala la lazima.

"Awali suala la usajili kwa wazawa halikuwa la lazima na ndio maana hata usajili ulikuwa ni wa chini sana, kwani watu walifika kwa DC (Mkuu wa Wilaya) kujisajili pale tu walipokuwa na mahitaji kama vile kupata cheti," alifafanua Hadson na kuongeza

"Lakini kulingana na umuhimu wake, tulipitia sheria zetu na kuzifanyia marekebisho ambazo kwa sasa usajili wa vizazi na vifo ni suala la lazima."

Mgeni rasmi katika hafla hiyo, Oliver Mhaiki ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, alisema usajili wa vizazi na vifo ni ni muhimu kwani utasaidia kupata takwimu ambazo zitaiwezesha serikali na wadau wengine, kupanga mipango ya maendeleo.
"Bila kuwa na takwimu na mfumo sahihi wa kuhifadhi idadi kamili ya watu ni vigumu kwa serikali na mashirika ya maendeleo, kupanga mikakati ya maendeleo kwa wananchi wake.





Electricity project execution on Rufiji River set to start

Source: Ippmedia


There is a glimmer of hope at last for the implementation of the Rufiji Basin hydro electric project with ten-times bigger capacity than Kidatu (200MW), The Guardian on Sunday learnt this week.
Director General of the Rufiji Basin Development Authority (RUBADA) Aloyce Masanja said the project - on the drawing board for years - has been resuscitated after formation in September last year of a team tasked to oversee its implementation.

The $2 billion four-phase project would be executed in five years. The first phase and the second phase will produce 300MW and 600 MW respectively, while the third phase and the last phase will have 900 MW and 300 MW respectively.

The RUBADA director general is chairman of the team consisting of officials from ministries of Agriculture, Food Security and Cooperatives, Energy and Minerals, Natural Resources and Tourism and Livestock Development and Fisheries.

Others are representatives from the Ministry of Water and Irrigation, Tanzania Electric Supply Company, Tanzania Investment Centre, National Environmental Management Council, Energy and Water Utility Regulatory Authority and the Attorney General's office.

The project is situated at the Stiegler's Gorge on Rufiji River in the Coast Region, a 130m gravity arch whose waters have a flow of 1,000 cubic metres per second - according studies done between 1978 and 1982.

According to Masanja Infrastructural Development Finance (IDF) from South Africa and Energem from Canada would team up with the task force to execute the project, expected to generate 2,100 MW out of which initially 50 per cent be supplied to the National Grid.

Mpanga, Ruhudji, Mnera Iringa Lukose and Kilombero (Kingeneras and Shughuli falls) would be the major sites for electricity generation in the Rufiji Basin, Masanja said.

In 1984 the World Bank approved a master plan for the project. At that time the country had less demand for electricity than now. However, in 2006 IDF and Energem got a one-year contract with RUBADA. Still Tanzania government reportedly withdrew from the contract after 11 months.

The power project is also expected to provide flood control downstream - exceeding 2500 cubic meters between March and April – as well as allowing irrigation. At present, the cultivation downstream of the proposed dam is around 14,000ha -rice being the main crop. However, Masanja said once the flood is put under control, about 622,400 ha would be potentially used for agriculture.

Crops like paddy, maize, banana, cassava, sweet potatoes, sugarcane and simsim would be cultivated on 337,000 ha of land, earning Tanzania over 719, 500, 000,000 per annum only on Kilombero and Lower Rufiji valley. If promoted, the crops could be grown for commercial purposes. With irrigation, minimum paddy production can be up to 6 tonnes.

Apart from boosting agricultural production, a dam at the project would create a permanent water reservoir with a total storage capacity of 34,000 million cubic meters covering surface area of 1,200 kilometres square. The length of the reservoir will be 100 km long.

Masanja suggested that a 120kilometre long access road from Chalinze to Stiegler's Gorge could open up the area as part of the development of tourism in the southern circuit.

He said the power from Stieger's Gorge would be cheap and in abundance. Villagers downstream of the dam such as Mloka, Kipo, Mkongo,Nyamwage, Ikwiriri, Utete, Mohoro and Mtunda would be provided with electricity, a catalyst to development of small scale industries and provision of better health services and other social amenities.

In addition, he said the income generated from small scale industries such as milling machines, processing of agroproducts will be sizable income to resident population, adding that environmental assessment impacts has been carried out and a mechanism will be built in to continuously monitor various effects inorder to benefit from the implementation of the project.

Back in 1907, a visionary and explorer Dr Stiegler's decided to lead an expedition to explore the mighty of Rufiji River starting from the Indian Ocean with the view to among other things to establish a permanent economic transport system to the interior of the Land of Tanganyika.

Some 230 kilometres upstream, he encountered a narrow pass inform of a canyon of more than eight kilometers with the depth of up to 100 metres. He found out that all the waters from the upstream pass through this narrow and deep canyon.

The German administrator decided to call the place ‘Stiegler's Gorge'- the name of this exceptionally courageous and visionary explorer. The basin, being the largest in Tanzania covers an area of 177,000 square kilometers extending 700 km from Mbeya in the west and almost the same distance from Songea and Ruvuma in the South draining thereby the Great Ruaha, Luweru and the Kilombero River.

The basin contains large potentials of agricultural land, hydropower, fisheries and forestry.
 
Mara ya kwanza kusikia kuhusu mradi huu, nilishangaa sana maana infrastraucture ya kufanikisha hakuna!Kama mitaa/barabara zenyewe hazipo sijui utazibatiza vipi! Fikiria, mara nyingi unapopata kiwanja cha kujenga nyumba, hakuna barabara, wala huduma za jamii zozote zile! Mipango miji nao sijui wameshiriki vipi katika kuandaa huu mradi na wata support vipi.I hope postal services walishirikisha wadau - Mindombinu ( barabara/mitaa), polisi/usalama wa raia ( kuhakikisha wizi utadhibitiwa),serikali za mitaa etc.Vinginevyo itakuwa ni white elephant maana watanzania walishajitengezea taratibu zao za kupelekeana ujumbe na vifurushi na so far wanamudu.
 
I agree with WoS, but all in all it is a good idea. The only problem that I suspect might arise out of this venture is an increase in burglary i.e. the postman that delivers the parcel will have to get it signed, right? That means they get to know the house in a bit more detail. And then one day he decides to come back..but not as a postman

Just thinking out loud....
 
2010-01-18 09:26:00



"It will involve naming and identification of streets and numbering all houses in accordance with new addressing standards," he said. The street-type postal addressing system has been initiated at a time the use of traditional mail delivering system through the post offices has gone down steeply.

Hapa ndipo patamu nataka kuona how genius these folks are, how do you name streets and houses-imagine to name the few;
- kwa Dar es Salaam mitaa ya Keko, kurasini, mbagala, gongo la mboto, kimara na mbezi mpaka kibamba, manzese na maeneo mengi ambayo hayakupimwa?
- Vipi makazi yaliyo vilima vya jiji la mwanza?
-Vipi unga limited Arusha?

should we say ni aina nyingine ya EPA kwa ajili ya uchaguzi mkuu?
why a multibillion project to be lauched this year of election? ilhali ahadi za barabara hata ambazo bushi aliahidi kutoa pesa hazijawekwa lami hata mita moja?

Mitaa ipi hiyo ya kuname katika miji na majiji ya TZ yaliyojengwa Hovyohovyo? sehemu zingine barabara zake hata vibajaji haviwezi kupita?

I am not critisizing, The Idea is OK but mazingira na mfumo wa ujenzi ambao ulitakiwa kusimamiwa na serikali unakinzana kabisa na mradi.
 
Nyumba nyingi sana miji mikubwa zina ID number,hivyo they have somewhere to start on..,mnafikiria kodi zinalipwaje?am sure about this.
 
Back
Top Bottom