Uchaguzi 2020 Sheria: Kutokuwepo kwa Wakala hakubatilishi Mchakato wa Uchaguzi

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
625
938
D40FF0B8-864E-4BCC-A24B-EBAF4675FA93.jpeg


Kifungu cha 71 cha Kanuni za Uchaguzi 2020 (Uchaguzi wa Urais na Ubunge) kinaeleza kuwa:-

Kutokuwepo kwa wakala au wagombea wakati wa upigaji au kuhesabu kura hakuwezi kubatilisha mchakato huo.
 
Sheria zimetungwa na wale waliopanga kuzuia mawakala kuingia vituoni. Walijua wanatakachofanya tangu mwanzo.

Halafu vyama vya siasa vikalazimishwa kuzisaini na kuambiwa kuwa wasiposaini, hawataruhusiwa kushiriki uchaguzi!
 
Sheria za kipumbavu Sana hizi
Yaani, mtu achelewe ama aamue kutokwenda kuwakila mgombea wake labda kwa kugundua mgombea wake atashindwa halafu sisi tuache kupiga kura !? Hilo haliwezekani, Mkuu.

Kwa hiyo, naunga mkono uwepo wa kipengere hicho cha sheria kama kilivyoletwa na JF Advocacy Team.
 
NEC Ikitangaza Matokeo Hayatapingwa Popote
Tazama Malawi Hawana Sheria Za Ajabu
Matokeo Yanapigwa Popote
 
Yaani, mtu achelewe ama aamue kutokwenda kuwakila mgombea wake labda kwa kugundua mgombea wake atashindwa halafu sisi tuache kupiga kura !? Hilo haliwezekani, Mkuu.

Kwa hiyo, naunga mkono uwepo wa kipengere hicho cha sheria kama kilivyoletwa na JF Advocacy Team.
Vipi akitolewa illegally kama walivyotolewa na wengine kuzuiliwa kuingia jana
 
Sheria zimetungwa na wale waliopanga kuzuia mawakala kuingia vituoni. Walijua wanatakachofanya tangu mwanzo.

Halafu vyama vya siasa vikalazimishwa kuzisaini na kuambiwa kuwa wasiposaini, hawataruhusiwa kushiriki uchaguzi!
Hapo hakuna kulazimishwa km una msimamo, vinginevyo utakua umehiari mwenyewe. Kwanini ushiriki kwenye kitu ambacho kina kasoro ambazo mwisho wa siku ni kujinyang'anya haki yako mwenyewe ?
 
Usiposhiriki, Rungwe na Queen wakashiriki kuhalalisha haramu inakuwa imesaidia nini? Angalau TL alitumia muda huo kufundisha umma kuhusu mambo ya msingi na haki zao.
Hapo hakuna kulazimishwa km una msimamo, vinginevyo utakua umehiari mwenyewe. Kwanini ushiriki kwenye kitu ambacho kina kasoro ambazo mwisho wa siku ni kujinyang'anya haki yako mwenyewe ?
 
View attachment 1614779

Kifungu cha 71 cha Kanuni za Uchaguzi 2020 (Uchaguzi wa Urais na Ubunge) kinaeleza kuwa:-

Kutokuwepo kwa wakala au wagombea wakati wa upigaji au kuhesabu kura hakuwezi kubatilisha mchakato huo.
Hata makaburu walikuwa na sheria "halali" kwa ajili ya kulinda"masilahi" yao halali! Sheria hizo ziliwekwa kwa lengo na nia "ovu". Yaliyojiri yanadhihirisha nia hiyo.
 
Mkuu, inaonekana ama wee ni mjinga ama unajifanya kuwa mjinga. Naunga mkono juhudi ili mjadala huu uishe. Hongera CCM kwa wizi wenu. Emndeleeni kuiba kwa kura zenu za kwenye mabegi. Watanzania wanafurhaia sana wizi wenu. Ndio maana wakashirki uchaguzi wa 28 Okt 2020.
Hapo hakuna kulazimishwa km una msimamo, vinginevyo utakua umehiari mwenyewe. Kwanini ushiriki kwenye kitu ambacho kina kasoro ambazo mwisho wa siku ni kujinyang'anya haki yako mwenyewe ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom