kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 733
Hivi sheria inasemaje endapo mtu kauziwa mali mf. Nyumba, kiwanja, gari, n.k...
Lakin baada ya mauziano kukamilika ikatokea muuzaji au mtu wa karibu wa muuzaji akahitaji kuirudisha mali iliyokwisha uzwa..
Sasa hapa sheria ipoje na inasemaje? Je, Mnunuaji atakuwa na haki ya KUKATAA kurudisha mali kwa bei aliyo uziwa? Na je ana haki ya kuongeza bei ya ile mali aliyoinunua? Na kama atatakiwa kuongeza thamani haitakiwi kuzidi asilimia ngapi ya bei ya kununulia?
Hapo sheria zetu za nchi zipoje na zinasemaje hapa...
==============+
kALEnga kidamali
Lakin baada ya mauziano kukamilika ikatokea muuzaji au mtu wa karibu wa muuzaji akahitaji kuirudisha mali iliyokwisha uzwa..
Sasa hapa sheria ipoje na inasemaje? Je, Mnunuaji atakuwa na haki ya KUKATAA kurudisha mali kwa bei aliyo uziwa? Na je ana haki ya kuongeza bei ya ile mali aliyoinunua? Na kama atatakiwa kuongeza thamani haitakiwi kuzidi asilimia ngapi ya bei ya kununulia?
Hapo sheria zetu za nchi zipoje na zinasemaje hapa...
==============+
kALEnga kidamali