magaka Makoye
Member
- Sep 11, 2011
- 5
- 2
Wana JF nisaidieni.
Pia wataalamu au wanojua mnifahamishe. Kwamba form Four wamemaliza mitihani na form Six wanamaliza mitihani yao mwezi wa pili mwaka kesho 2012. Lakini wote hao wangeoa, kuolewa ama kupata mimba wakiwa wanafunzi wangepata matatizo makubwa sana ikiwemo kufukuzwa shule au kufungwa jela.
LAKINI kwa mwanafunzi wa chuo hata kama anasomea cheti AKIBEBA MIMBA, KUOLEWA AMA KUOA huwa hawachukuliwi hatua yoyote........! Sasa naambiwa kuna sheria ya elimu ya juu inaruhusu. Naomba mnisaidie ni sheria gani (jina lake) na kifungu kipi (kama ikibidi). Kisha tujadili mfano mwanafunzi anayesomea cheti je nayeye anahesabika kuwa anasoma elimu ya juu?
Asanteni sana.
Pia wataalamu au wanojua mnifahamishe. Kwamba form Four wamemaliza mitihani na form Six wanamaliza mitihani yao mwezi wa pili mwaka kesho 2012. Lakini wote hao wangeoa, kuolewa ama kupata mimba wakiwa wanafunzi wangepata matatizo makubwa sana ikiwemo kufukuzwa shule au kufungwa jela.
LAKINI kwa mwanafunzi wa chuo hata kama anasomea cheti AKIBEBA MIMBA, KUOLEWA AMA KUOA huwa hawachukuliwi hatua yoyote........! Sasa naambiwa kuna sheria ya elimu ya juu inaruhusu. Naomba mnisaidie ni sheria gani (jina lake) na kifungu kipi (kama ikibidi). Kisha tujadili mfano mwanafunzi anayesomea cheti je nayeye anahesabika kuwa anasoma elimu ya juu?
Asanteni sana.