The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,946
taja weka hapa hicho unachosema acha porojoCheki kama huyu sasa yaani hata anachokisema sijui kama anakielewa.....
Hivi una hata katiba hapo ulipo?!
SONY Xperia Z5 Premium
taja weka hapa hicho unachosema acha porojoCheki kama huyu sasa yaani hata anachokisema sijui kama anakielewa.....
Hivi una hata katiba hapo ulipo?!
SONY Xperia Z5 Premium
I don't believe this!!! Hey boy, is this a U turn or what?Ina maana rais wa Tanzania yuko above reproach?
Huu utawala wa Magufuli umezidi sasa.
We si ccmIna maana rais wa Tanzania yuko above reproach?
Huu utawala wa Magufuli umezidi sasa.
Katika suala hili aliyekuwa mmoja wapo wa pande husika katika kesi ni serikali na baada ya kuzuiliwa kwa ndege huko Canada, serikali ya Tanzania ambayo ndiye sehemu ya kesi hiyo ilijulishwa kwa attachment hiyo (Notification). Hakujulishwa Tundu Lissu. Hivyo, serikali ndiyo ilipashwa kuitisha Press Conference na kuujulisha umma kuwa ndege ambayo ilitarajiwa kuwasili mwezi july haikuja katika muda huo kutokana na kushikiliwa, lakini siyo Tundu Lissu kufanya hivyo. Inasemekana kuwa Tundu Lissu ndiye amekuwa mstari wa mbele kuwashawishi kwa kiwango kikubwa hao jamaa na amewasaidia kwa kuandaa nyaraka ili wakafungue kesi na amewasaidia kuonyesha ni wapi mali ya serikali ya Tanzania ilipo ambayo ni ndenge. Kwa hiyo hapa kuna kitu kimoja tu ambacho ni KUSHAWISHI jamaa wafungue kesi dhidi ya serikali. Kwa mjibu wa sheria ya Uwakili, kumshawishi siyo zuri. Hivyo, kutokana na mambo yanayozidi kumkumba huyu Tundu Lissu hasa ya kiuchochezi, sitashangaa kuona hapo baadaye anafunguliwa kesi ya UHAINI ambayo ni kesi kubwa sana kuliko kesi zote za jinai na ambayo imetamkwa katika katiba ya 1977. Ni suala la kumuombea kwa mungu kuliko kuweka ushabiki mbele.Hii habari iliyopa hapa JamiiForums ya kusema kwamba kutaja makosa ya Raisi hadharani ni kosa ni habari ambayo tu si imenishangaza, bali imenishitua sana maan tafsiri yake kwa mtazamo wangu ni kosa kisheria kumkosoa Raisi kwa kutaja makosa yake hadharani.
Sasa wadau,mwenye kuielewa vizuri hiyo sheria naomba atuwekee hapa ili wengi tuifahamu na tuepuka kutenda kosa hilo(kama kweli lipo)
Na kama habari hii imeripotiwa kimakosa basi ni vizuri irekebishwe/ifafanuliwe na wahusika.
Mods nawaomba sana maana leo huyu kesho unaweza kuwa wewe au mimi hivyo nawaomba msihamishe hii mada kwenda jukwaa lingine wala kuiunganisha.
Vyombo vya habari na wamiliki wa mitandao mbalimbali ni wakati wa kila mmoja wenu kutambua hatari iliyopo na kutimiza wajibu wake hasa kwa kuyapa umuhimu wa kipekee mambo ya aina hii katika vyombo vyenu vya habari au mitandao mnayomiliki.
Mnaweza mkadharau lakini kaeni mkijua mtakuja kushituka when it is already too late.
Sidhani kama una akili timamu, au HujuI kwa ufasaha hili suala. jaribu kuwaza kwa akili yako badala ya kuwa DODOKI.Katika suala hili aliyekuwa mmoja wapo wa pande husika katika kesi ni serikali na baada ya kuzuiliwa kwa ndege huko Canada, serikali ya Tanzania ambayo ndiye sehemu ya kesi hiyo ilijulishwa kwa attachment hiyo (Notification). Hakujulishwa Tundu Lissu. Hivyo, serikali ndiyo ilipashwa kuitisha Press Conference na kuujulisha umma kuwa ndege ambayo ilitarajiwa kuwasili mwezi july haikuja katika muda huo kutokana na kushikiliwa, lakini siyo Tundu Lissu kufanya hivyo. Inasemekana kuwa Tundu Lissu ndiye amekuwa mstari wa mbele kuwashawishi kwa kiwango kikubwa hao jamaa na amewasaidia kwa kuandaa nyaraka ili wakafungue kesi na amewasaidia kuonyesha ni wapi mali ya serikali ya Tanzania ilipo ambayo ni ndenge. Kwa hiyo hapa kuna kitu kimoja tu ambacho ni KUSHAWISHI jamaa wafungue kesi dhidi ya serikali. Kwa mjibu wa sheria ya Uwakili, kumshawishi siyo zuri. Hivyo, kutokana na mambo yanayozidi kumkumba huyu Tundu Lissu hasa ya kiuchochezi, sitashangaa kuona hapo baadaye anafunguliwa kesi ya UHAINI ambayo ni kesi kubwa sana kuliko kesi zote za jinai na ambayo imetamkwa katika katiba ya 1977. Ni suala la kumuombea kwa mungu kuliko kuweka ushabiki mbele.
Sikushangai sana kwa matusi yako hayo na kuropoka. Maana hata huyo aliyelazwa selo, amelazwa huko kutokana na kuwa na tabia ya maneno machafu na uropokaji kama wewe. Matusi na maneno machafu hayatamuondoa mwenziyo selo, ila tu sheria za nchi.Sidhani kama una akili timamu, au HujuI kwa ufasaha hili suala. jaribu kuwaza kwa akili yako badala ya kuwa DODOKI.
UsipotosheHii habari iliyopa hapa JamiiForums ya kusema kwamba kutaja makosa ya Raisi hadharani ni kosa ni habari ambayo tu si imenishangaza, bali imenishitua sana maan tafsiri yake kwa mtazamo wangu ni kosa kisheria kumkosoa Raisi kwa kutaja makosa yake hadharani.
Sasa wadau,mwenye kuielewa vizuri hiyo sheria naomba atuwekee hapa ili wengi tuifahamu na tuepuka kutenda kosa hilo(kama kweli lipo)
Na kama habari hii imeripotiwa kimakosa basi ni vizuri irekebishwe/ifafanuliwe na wahusika.
Mods nawaomba sana maana leo huyu kesho unaweza kuwa wewe au mimi hivyo nawaomba msihamishe hii mada kwenda jukwaa lingine wala kuiunganisha.
Vyombo vya habari na wamiliki wa mitandao mbalimbali ni wakati wa kila mmoja wenu kutambua hatari iliyopo na kutimiza wajibu wake hasa kwa kuyapa umuhimu wa kipekee mambo ya aina hii katika vyombo vyenu vya habari au mitandao mnayomiliki.
Mnaweza mkadharau lakini kaeni mkijua mtakuja kushituka when it is already too late.
Ukitaka kujua jinsi ya hiyo aproach jaribu kutumia mwenendo wa lisu, mkosoe bosi wako. Usitoke nje wala kuita waandishi wa habari. Toa shutuma humo humo ofisini kisha hakikisha zimemfikia boss.Ina maana rais wa Tanzania yuko above reproach?
Huu utawala wa Magufuli umezidi sasa.
Vilevile ni uhuni kwa kiongozi wa upinzani kuongea lugha ya kihuni dhiidi ya kiongozi aliyechaguliwa na watanzania woteMambo ya kihuni kama haya kunyanyasa watu alafu eti uzalendo my foot!
Mi naona bora mwingereza angebakibaki kidogo,sijui tulukuwa tuna haraka gani wakati kujitawala wenyewe hatuwezi,miaka 50 ya uhuru alafu hata madawati darasani bdo ni changamoto,tulipaswa tupate uhuru kwenye miaka ya tisini.Unajiuliza ni kwanini hata tulidai uhuru!!
Yeye ndie anayewatuma.unadhani wanakurupuka tu,kwani awamu ya kikwete hakuku na ma RC,DC na polisi?,mbona huu ujinga haukuwepo?.Nafikiri sasa Mh. Rais anatakiwa aingilie kati. Mapolisi na wakuu wa wilaya/mikoa wanamfanya anaonekana vibaya mbele ya jamii anayoingoza.
Rais kukosolewa sio dhambi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta maana ya neno Kimeo halafu ujitathmini upo upande gani wa vimeo!Katika suala hili aliyekuwa mmoja wapo wa pande husika katika kesi ni serikali na baada ya kuzuiliwa kwa ndege huko Canada, serikali ya Tanzania ambayo ndiye sehemu ya kesi hiyo ilijulishwa kwa attachment hiyo (Notification). Hakujulishwa Tundu Lissu. Hivyo, serikali ndiyo ilipashwa kuitisha Press Conference na kuujulisha umma kuwa ndege ambayo ilitarajiwa kuwasili mwezi july haikuja katika muda huo kutokana na kushikiliwa, lakini siyo Tundu Lissu kufanya hivyo. Inasemekana kuwa Tundu Lissu ndiye amekuwa mstari wa mbele kuwashawishi kwa kiwango kikubwa hao jamaa na amewasaidia kwa kuandaa nyaraka ili wakafungue kesi na amewasaidia kuonyesha ni wapi mali ya serikali ya Tanzania ilipo ambayo ni ndenge. Kwa hiyo hapa kuna kitu kimoja tu ambacho ni KUSHAWISHI jamaa wafungue kesi dhidi ya serikali. Kwa mjibu wa sheria ya Uwakili, kumshawishi siyo zuri. Hivyo, kutokana na mambo yanayozidi kumkumba huyu Tundu Lissu hasa ya kiuchochezi, sitashangaa kuona hapo baadaye anafunguliwa kesi ya UHAINI ambayo ni kesi kubwa sana kuliko kesi zote za jinai na ambayo imetamkwa katika katiba ya 1977. Ni suala la kumuombea kwa mungu kuliko kuweka ushabiki mbele.
Kwani hilo ni jambo la kifamilia?Hiyo hela itakayotumika kulipa deni inatoka mfuko kwa mtu au ni kodi zetu?Kama ni kodi zetu,kwanini iwe siri?kwa hiyo ww baba ako akikosea jambo nyimbani unaenda kulitangaza hadharani na kwa wasiohusika ikadhani ni ujanja
Sent using Jamii Forums mobile app