Jamaa amekamatwa na polisi akiwa faragha na mwanamke umri miaka 16
Nasema ni mwanamke kwa sababu akiwa na umri wa miaka 15 alipigwa ujauzito na mwanafunzi mwenzake wakasovu huko yakaisha na kujifungua
Jamaa miaka 40+ ameingia kwenye mahusiano na mwanamke huyo ila wakiwa faragha amewekwa lock up kuwa anatembea na mtoto
Hivi binti akijifungua chini ya miaka 18 mwanaume haruhusiwi kuwa naye kimahusiano? Kwamba bado ni mtoto au kisheria limekaaje
Nasema ni mwanamke kwa sababu akiwa na umri wa miaka 15 alipigwa ujauzito na mwanafunzi mwenzake wakasovu huko yakaisha na kujifungua
Jamaa miaka 40+ ameingia kwenye mahusiano na mwanamke huyo ila wakiwa faragha amewekwa lock up kuwa anatembea na mtoto
Hivi binti akijifungua chini ya miaka 18 mwanaume haruhusiwi kuwa naye kimahusiano? Kwamba bado ni mtoto au kisheria limekaaje