deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Habari wadau,
Kuna wimbi linaendelea la watu kufanya kazi pasi na taaluma ya habari na utangazaji. Hivi sheria inasemaje? Wizara na TCRA mliangalie hili. Yaani taaluma iheshimiwe.
Natumai Serikali hii sikivu, chukueni hatua kwenye hili.
Kuna wimbi linaendelea la watu kufanya kazi pasi na taaluma ya habari na utangazaji. Hivi sheria inasemaje? Wizara na TCRA mliangalie hili. Yaani taaluma iheshimiwe.
Natumai Serikali hii sikivu, chukueni hatua kwenye hili.