Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 2,952
- 5,871
Mtu amekamatwa akiuza nyama ya mbwa (wamemchinja mbwa wakaandaa mishikaki wakawa wanauza, na nyingine wakauza kwenye supu). Watu hawa watashitakiwa kwa kosa gani? na ni sheria gani chini ya kifungu gani.
Msaada please!
Msaada please!