dungune
Member
- Nov 10, 2021
- 70
- 157
- Thread starter
- #21
sawa.Nenda ustawi wa jamii ,maana ukiishi kinyumba na mwanamke kwa miezi mitatu mpaka sita sheria inatambua kuwa huyo ni mkeo,sasa ukiacha mke kwa kumtelekeza kwa muda wote huo naamini pia anakuwa huru kusaidiwa hasa upande wa kusuguana vikojoleo.