LUPITUKO
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 279
- 183
Hivi majuzi tumeshudia picha chafu za bibi harusi kwenye mitandao mpaka ndoa yake kuvunjika ghafla baada ya fungate.Niliona jinsi swala la kule morogoro la kubakwa yule msichana watu walivojitokeza kwa wingi mpaka viongozi kulaani kitu hicho na hatimae kuwatia nguvuni wahusika.
Kitu najiuliza hivi hata kama msichana alipiga kwa ridhaa yake je ni sawa kwa EX wake kuzisambaza kiulaini hivo na sheria isichukue mkondo wake?Huyu jamaa anajulikana fika ni nani na yupo wapi lakini naona hata wale wa haki za wanawake wapo kimya, hivi bado tumepigwa mshangao au hii kitu inaruhusiwa tu so long ni pic za mpenzi wako wa zamani.
Kitu najiuliza hivi hata kama msichana alipiga kwa ridhaa yake je ni sawa kwa EX wake kuzisambaza kiulaini hivo na sheria isichukue mkondo wake?Huyu jamaa anajulikana fika ni nani na yupo wapi lakini naona hata wale wa haki za wanawake wapo kimya, hivi bado tumepigwa mshangao au hii kitu inaruhusiwa tu so long ni pic za mpenzi wako wa zamani.