Sheria inasemaje kuhusu dada aliyepewa zawadi ya picha chafu siku ya ndoa yake?

LUPITUKO

JF-Expert Member
Sep 19, 2011
279
183
Hivi majuzi tumeshudia picha chafu za bibi harusi kwenye mitandao mpaka ndoa yake kuvunjika ghafla baada ya fungate.Niliona jinsi swala la kule morogoro la kubakwa yule msichana watu walivojitokeza kwa wingi mpaka viongozi kulaani kitu hicho na hatimae kuwatia nguvuni wahusika.

Kitu najiuliza hivi hata kama msichana alipiga kwa ridhaa yake je ni sawa kwa EX wake kuzisambaza kiulaini hivo na sheria isichukue mkondo wake?Huyu jamaa anajulikana fika ni nani na yupo wapi lakini naona hata wale wa haki za wanawake wapo kimya, hivi bado tumepigwa mshangao au hii kitu inaruhusiwa tu so long ni pic za mpenzi wako wa zamani.
 
Mkuu unauhakika aliyezipeleka kwa bibie ni x-lover wake? je kama ndo kameramani aliyezipeleka baada ya kumtafuta muda mrefu bibie bila mafanikio,so akaona huo ndo muda muafaka wa kumpa picha zake? think out of the box
Kwani unavoongea una uhakika nani kapeleka? Unahitaji akili kidogo tu kujua why huyo ex ni mtuhumiwa no 1 then uwaze nje ya box kwani hizo picha zilipigwa na watu 2 tu.
 
Sheria inasema mzinifu apigwe mawe madogo madogo mpaka afe. Huyo malaya anapaswa apigwe mawe
 
1: Huyo aliyetoa hizo picha amemvunjia utu na heshima yake huyo dada katika jamii kwa kutoa nje privacy zao.
2: Kwa makusudi kufarakanisha wanandoa hilo ni kosa na ndiyo msingi wa kisheria unapaswa kuanzia hapo kumchukulia hatua mhusika.
3: Kitendo alichofanyiwa huyo dada hakikubaliki hata kidogo, tuangalie haki za binadamu zinasemaje? Je universal declaration of human right inasemaje?. Na sheria za nchi zinasemaje juu ya faragha?. Yawezekana huyo dada alipigwa picha pasipo ridhaa yake.

Bado natafakari
 
Dhambi unapoitenda unakwenda zako bila hata kukumbuka Ila utajaulizwa siku moja, asema Bwana!!
 
Story ya kutunga ile watu wameshupalia upuuzi ule..! But good lesson kwa wadada zangu!
 
Wametoka Malawi au ni jina tu?
soma historia yao hapa

Wikipedia, the free encyclopedia

ila wanaitwa
1: Huyo aliyetoa hizo picha amemvunjia utu na heshima yake huyo dada katika jamii kwa kutoa nje privacy zao.
2: Kwa makusudi kufarakanisha wanandoa hilo ni kosa na ndiyo msingi wa kisheria unapaswa kuanzia hapo kumchukulia hatua mhusika.
3: Kitendo alichofanyiwa huyo dada hakikubaliki hata kidogo, tuangalie haki za binadamu zinasemaje? Je universal declaration of human right inasemaje?. Na sheria za nchi zinasemaje juu ya faragha?. Yawezekana huyo dada alipigwa picha pasipo ridhaa yake.

Bado natafakari
kajivunjia heshima tangu cku anazipiga kwanza huyo mwanamke ni malaya tu mwanamke anae jiheshimu mwenye hofu na mungu ata awe ana kupenda kiasi gan hawezi kubali umpige picha za uchi za kazi gan?? ukumbusho? fuckin pig hayo ndo malipo yake nguruwe tu huyo nimeona pic zake mie hadi anachekelea full tabasam inaonesha alikua kalidhia hali ile leo mna mtetea who is u? sons of devil???? comooon!!!
 
Hivi kwanza walipiga picha ili iweje? Maana nnavyojua mimi picha hupigwa kama ukumbusho na kumbukumbu katika tukio fulan na ikatokea ukatembelewa na Mgeni basi Albam hutolewa ili tupate kumbukumbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom