Elections 2010 Sheria inasemaje juu ya hili??????

babayah67

JF-Expert Member
Mar 28, 2008
493
79


Je Wabunge wateule kupitia CHADEMA wanaweza kuingia bungeni na kuitisha hoja binafsi juu ya suala la kuwa na katiba mpyaaaaaa????????
 
Wana haki ya kuwasilisha lakini najua Wabunge wa CCM wakitumia wingi wao wataipinga. Ili kufanikiwa ni lazima wapate wabunge wengi ndani ya CCM waiwasilishe na wao waiunge mkono. Itabidi washindani wajenge hoja kali sana ambazo zitaweza kukonga nyoyo za baadhi ya wabunge wa CCM na hivyo kuunda ushirikiano mtakatifu kupambana na mafisadi "lunkunku" sugu wa CCM.
 
Back
Top Bottom