Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wakazi wa Kawe Diwani wenu hatimae KAPATIKANA kwa Kipenzi chake ASHURA na hajahudhuria VIKAO kwa Miezi 3 kweli Bado Munamuhitaji au Tuambiwe Sheria inasemaje juu ya Hatima ya UDIWANI wake?
===
Diwani wa kata ya Kawe, Mutta Rwakatare (43) mkazi wa Mikocheni wilayani Kinondoni aliyedaiwa kupotea tangu mwezi Februari mwaka huu, amepatikana akiwa kwa mwanamke aitwaye Ashura Ally Matitu, miaka 43, Mzaramo mkazi wa Tabata darajani ambaye amedai kuwa ni rafiki yake.
===
Diwani wa kata ya Kawe, Mutta Rwakatare (43) mkazi wa Mikocheni wilayani Kinondoni aliyedaiwa kupotea tangu mwezi Februari mwaka huu, amepatikana akiwa kwa mwanamke aitwaye Ashura Ally Matitu, miaka 43, Mzaramo mkazi wa Tabata darajani ambaye amedai kuwa ni rafiki yake.