muhinisugi
Member
- Apr 25, 2017
- 43
- 34
Haya makanisa ya kilokole yanatupa tabu sana hatupati usingizi kwa muziki wanaopiga kwenye makanisa yao usiku, wanafoka usiku kucha sijui maombi ya aina gani haya.
Sijui serikali imeweka sheria gani kuhusu hii mikesha inayotunyima usingizi tunaoishi karibu na haya makanisa, naomba msaada wadau maana nilishaanza kukoromeana na huyu mchungaji feki.
Sijui serikali imeweka sheria gani kuhusu hii mikesha inayotunyima usingizi tunaoishi karibu na haya makanisa, naomba msaada wadau maana nilishaanza kukoromeana na huyu mchungaji feki.