Sheria gani niitumie kumshughulikia mtu aliyeniingiza kwenye whatsapp group nisilolipenda bila kuniuliza?

Kisanduku

JF-Expert Member
Jul 9, 2009
284
482
Serikali ilianzisha sheria ya mitandao ili kulinda uhuru wa watu kulingana na matumizi ya mitandao.

Sasa binafsi nimekuwa nikijikuta naungwa kwenye makundi ya whatsapp bila kuulizwa wala bila kujua humo kundini nitachanganyw ana nani.

Wakati mwingine unajikuta umeingizwa kwenye kundi moja na mtu ambaye ulishampiga marufuku kukanyaga nyumbani kwako. Naju amtu kama huyu hawezikukanyaga kwako maana kuna sheria inakulinda kukuingilia nyumbani kwako.

Lakini kwenye kundi la whatsapp unajikuta uko naye kwa sababu tu fulani kakuunga na umejikuta uko naye.

Sasa nauliza.

Je hakuna kifungu kinachoweza kutumika kuwadhibiti hawa wanaokuunga kwenye group bila kupenda. Kama kipo nitafurahi sana maana mchezo umezidi siku hizi.

Najua humu wapo watakaojitokeza na kusema kwa nini nisibonyeze tu button ya kujotoa (Leaving the group).

Kimsingi hata nikibonyeza tayari mtu huyu ameshafaulu kunivurugua kisaikolojia kwa kuniunga na kundi la watu bila ridhaa yangu.

Vilevile kanipa usumbufu wa baadhi ya wtau kuniona mtu wa ajabu kutopenda group hasa wasiojua sababu halisi.

Je, hakuna kifungu kinachoweza kukomesha watu wa namna hii?
 
We hupendi? Pole wengine tunapenda😂😂
Screenshot_2019-07-10-22-18-02.png
 
BAADA YA KUSOMA MAELEZO YAKO KITU NILICHOGUNDUA NJAA INAKUSUMBUA TUU HUNA LOLOTE

SEMA TUU UNATAFUTA MEANS YA KUPATA PESA KUPITIA ADMN WA GROUP
Serikali ilianzisha sheria ya mitandao ili kulinda uhuru wa watu kulingana na matumizi ya mitandao.

Sasa binafsi nimekuwa nikijikuta naungwa kwenye makundi ya whatsapp bila kuulizwa wala bila kujua humo kundini nitachanganyw ana nani.

Wakati mwingine unajikuta umeingizwa kwenye kundi moja na mtu ambaye ulishampiga marufuku kukanyaga nyumbani kwako. Naju amtu kama huyu hawezikukanyaga kwako maana kuna sheria inakulinda kukuingilia nyumbani kwako.

Lakini kwenye kundi la whatsapp unajikuta uko naye kwa sababu tu fulani kakuunga na umejikuta uko naye.

Sasa nauliza.

Je hakuna kifungu kinachoweza kutumika kuwadhibiti hawa wanaokuunga kwenye group bila kupenda. Kama kipo nitafurahi sana maana mchezo umezidi siku hizi.

Najua humu wapo watakaojitokeza na kusema kwa nini nisibonyeze tu button ya kujotoa (Leaving the group).

Kimsingi hata nikibonyeza tayari mtu huyu ameshafaulu kunivurugua kisaikolojia kwa kuniunga na kundi la watu bila ridhaa yangu.

Vilevile kanipa usumbufu wa baadhi ya wtau kuniona mtu wa ajabu kutopenda group hasa wasiojua sababu halisi.

Je, hakuna kifungu kinachoweza kukomesha watu wa namna hii?
 
Serikali ilianzisha sheria ya mitandao ili kulinda uhuru wa watu kulingana na matumizi ya mitandao.

Sasa binafsi nimekuwa nikijikuta naungwa kwenye makundi ya whatsapp bila kuulizwa wala bila kujua humo kundini nitachanganyw ana nani.

Wakati mwingine unajikuta umeingizwa kwenye kundi moja na mtu ambaye ulishampiga marufuku kukanyaga nyumbani kwako. Naju amtu kama huyu hawezikukanyaga kwako maana kuna sheria inakulinda kukuingilia nyumbani kwako.

Lakini kwenye kundi la whatsapp unajikuta uko naye kwa sababu tu fulani kakuunga na umejikuta uko naye.

Sasa nauliza.

Je hakuna kifungu kinachoweza kutumika kuwadhibiti hawa wanaokuunga kwenye group bila kupenda. Kama kipo nitafurahi sana maana mchezo umezidi siku hizi.

Najua humu wapo watakaojitokeza na kusema kwa nini nisibonyeze tu button ya kujotoa (Leaving the group).

Kimsingi hata nikibonyeza tayari mtu huyu ameshafaulu kunivurugua kisaikolojia kwa kuniunga na kundi la watu bila ridhaa yangu.

Vilevile kanipa usumbufu wa baadhi ya wtau kuniona mtu wa ajabu kutopenda group hasa wasiojua sababu halisi.

Je, hakuna kifungu kinachoweza kukomesha watu wa namna hii?
Aise hiyo sheria ukiipata nijuze nami niunganishe yangu, nakerwa na haya matangazo ya upatu yanayotumwa kwenye simu yangu, mara no yako imechaguliwa nk
 
Serikali ilianzisha sheria ya mitandao ili kulinda uhuru wa watu kulingana na matumizi ya mitandao.

Sasa binafsi nimekuwa nikijikuta naungwa kwenye makundi ya whatsapp bila kuulizwa wala bila kujua humo kundini nitachanganyw ana nani.

Wakati mwingine unajikuta umeingizwa kwenye kundi moja na mtu ambaye ulishampiga marufuku kukanyaga nyumbani kwako. Naju amtu kama huyu hawezikukanyaga kwako maana kuna sheria inakulinda kukuingilia nyumbani kwako.

Lakini kwenye kundi la whatsapp unajikuta uko naye kwa sababu tu fulani kakuunga na umejikuta uko naye.

Sasa nauliza.

Je hakuna kifungu kinachoweza kutumika kuwadhibiti hawa wanaokuunga kwenye group bila kupenda. Kama kipo nitafurahi sana maana mchezo umezidi siku hizi.

Najua humu wapo watakaojitokeza na kusema kwa nini nisibonyeze tu button ya kujotoa (Leaving the group).

Kimsingi hata nikibonyeza tayari mtu huyu ameshafaulu kunivurugua kisaikolojia kwa kuniunga na kundi la watu bila ridhaa yangu.

Vilevile kanipa usumbufu wa baadhi ya wtau kuniona mtu wa ajabu kutopenda group hasa wasiojua sababu halisi.

Je, hakuna kifungu kinachoweza kukomesha watu wa namna hii?
leave tu acha porojo mara vifungu vya sheria mara nn utafunga wangapi ?
 
Back
Top Bottom