Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Hivi Ni kifungu gani kwenye Katiba kinachompa Rais, Mamlaka ya Kufanya reallocation ya Public fund, Huku Matumizi ya fedha za Umma huidhinishwa na Bunge.
Hivi Ni kifungu gani kwenye Katiba kinachompa Rais, Mamlaka ya Kufanya reallocation ya Public fund, Huku Matumizi ya fedha za Umma huidhinishwa na Bunge.
Kwani haya ni mageni,au miaka 6 iliyopita ulikuwa ughaibuni,au usingizini,tena wakati huu tunaahueni kubwa mno.Hivi Ni kifungu gani kwenye Katiba kinachompa Rais, Mamlaka ya Kufanya reallocation ya Public fund, Huku Matumizi ya fedha za Umma huidhinishwa na Bunge.
Ni mamlaka ile ile aliyo kuwa nayo magufuli.Hivi Ni kifungu gani kwenye Katiba kinachompa Rais, Mamlaka ya Kufanya reallocation ya Public fund, Huku Matumizi ya fedha za Umma huidhinishwa na Bunge.
Kwani haikuwahi kutokea.Rambirambi zitaenda kufanya shughuli za maendeleo....