Sherehe za TANU: Rais Kikwete akutana na mabalozi wa nyumba kumi na viongozi wa mashina na kata

dogo tutafanyaje?yale majamaa yamegoma kungoka.alafu wanatishia eti tukimwaga ugali wanamwaga ugali.mh sijui tufanyeje?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
sharobaro nape hata kuvaa saa mkononi? Hajui inaongeza unamaridadi hiyo cheni inawakilisha usanii
 
Hivi maadhimisho haya ya 'kumkumbuka marehemu' TANU huwa yanafanyika kila mwaka?mi mbona ndo nasikia mwaka huu!
 
wote hao hapo juu hawana mgao wa umeme,,... hahah kweli ccm hata ukiweka punda agombee urais atashinda tu
 
Magamba bana, heri niwasikilize Wasanii wa kikweli:

Ray C, hebu tuserebuke na nyimbo za Kihindi........... "Ufisadi, my Darling..... I love you" - Love in Magamba.



 
Last edited by a moderator:
Kijana:Je! Mzee wafahamu Yanga wameingia nusu fainali kombe la kagame kwa njia ya matuta baada ya dk 90 na nyongeza? je waonaje wale triplet tutumie njia ya matuta baada ya siku 90 tu?

Mzee: Hapana bwamdogo, naona tuvute nao pumzi mdogo mdogo na ikibidi tuongeze siku30.

Mkuu naona tupo dakika za lala salama. Kuna uwezekano hii ngoma ikaenda extra time. Jamaa wanadelay too much wakati wanajua wazi kuwa hii ngoma ni ya mtoano. Lazima mshindi apatikane hata kwa matuta akacheze Champions League mwaka 2015.
 
duh watz hatuna vipaumbele , mnafanya birthday ya babu aliyeshafariki , mnatumia fedha nyingi kwa tukio lisilo na manufaa wananchi wanaokufa kwa kukosa huduma za afya, ajira hakuna umeme hakuna njaa ndiyo imetamalaki maeneo kedekede hivi rais anapata wapi ujasiri huu ?
Inatia hasira sana kuona watu ambao hawayaenzi yale yaliokua ya tanu kwamba ni chama cha watu na watu wako vijijini wanakikumbukia town kisanii...hivi hawa wanaokaa chini jamani na kuvalishwa t-shirt na kofia ni watanzania wa wapi? hizi t-shirt na posho zinawapa umeme? watoto wao watakaopunguzwa kazi kwasababu ya mgao watawagaia nini? eti wanaserebuka...Nashindwa kuelewa ujinga uliopo utaondolewaje maana wajinga ndio waliwao...Nahisi inabidi kuweka picha hizi na kurekodi kila sura kwa faida ya vizazi vijavyo vitakapoamua kufanyia kazi waliowaletea udumavu wa maisha katika nchi hii yenye neema.
 
Mtu mwenyewe kavaa cheni ya mkono HANA SAA WALA PETE!!!!!
Ina maana huyu jamaa inaonekana muda kwake ni tatizo. Sijui akiwa na appointment na M/kiti wake huwa anatumia saa gani! Kuhusu kutovaa pete yawezekana hajao au kwake pete siyo muhimu!
Nape hana jipya.Kinachoonekana hapa kwenye picha ni kuwa atakuwa anamjaza Kiwete maneno ya umbeya na uzushi mtupu.
CCM lazima wawe makini na huyu Domokaya(mpaukaji) vinginavyo atazidi kukigawa na hatimaye kukisambaratisha chama chake.
 
Hebu fananua hapo kwenye bold, na Jipongeze hapo kwenye red!
i
Najiuliza maswali..Unafanya 'utani' kwasababu umeshiba na unahisi yanayowaumiza walio wengi nchini hayakuhusu au umetumwa kubadili mkusanyiko wa mawazo yanayoweza kuleta mabadiliko nchini? Kwa vyovyote iwavyo unaenda kinyume na walio wengi na adhabu yako Itakua Kali. Angalia historia ya yaliyotokea Misri naamini watu kama wewe waliokua wanayafanya unayoyafanya wewe hapa JF watakua wanahaha hivi sasa.
 
Labda SiMu
Mtu mwenyewe kavaa cheni ya mkono HANA SAA WALA PETE!!!!!Ina maana huyu jamaa inaonekana muda kwake ni tatizo. Sijui akiwa na appointment na M/kiti wake huwa anatumia saa gani! Kuhusu kutovaa pete yawezekana hajao au kwake pete siyo muhimu! Nape hana jipya.Kinachoonekana hapa kwenye picha ni kuwa atakuwa anamjaza Kiwete maneno ya umbeya na uzushi mtupu.CCM lazima wawe makini na huyu Domokaya(mpaukaji) vinginavyo atazidi kukigawa na hatimaye kukisambaratisha chama chake.
 
Kunatatizo! Kunatatizo! angalia viongozi wanaowakilisha wanachama au wapiga kura tunaowategemea walivyokalishwa chini! Ingekuwa mimi rais ningegoma mpaka waletewe viti hata mabenchi basi kama ni wengi! KUNA TATIZO jamani tumsaidie rais wetu - Miaka hamsini bado tunashabikia watu wenye heshima zao kama hawa kukaa chini? Jamani angalieni CHINA au DPR au USA au Britain jinsi chama kinavyo heshimu watendaji wake! KUNA TATIZO!

kwa kweli hata mie hili jamabo limenibore sana............... watu wazima kuwakalisha chini na miguu pekupeku!!!................ kumbe ndio maana CCM hawashangai kuona wanafunzi wakikaa chini kwa kukosa madawati............. na wajawazito wakijifungulia sakafuni.......... yeah, sasa kama mama na baba zao wanakaa chini halafu wanaipigia kura hiyohiyo ccm tutarajie nini huko mashuleni??................. kwa kweli nimepata mpaka kichefuchefu kwa ile picha!!.............. Mungu tuhurumuie................
 
Haya ni matumizi mabaya ya kodi za watanzania kwa kweli,wanasherekea wakati watanzania hawana umeme mgawo upo mpaka wa masaa 24,watanzania hawana lishe bora,makazi bora hawana,nchi inamadeni ya kutupa mengi,wizi umejaa wakutupa wa viongozi wa serikalini,ndani ya CCM kila kiongozi anaongea lake kuhusu mustakabari wa Taifa,vijana wanamatamko yao,wazee hivyohivyo,wamama hivyohivyi,hili ni anguko la CCM LIMETIMIA.
 
GreatThinkers,hivi haya maadhimisho ya kumkumbuka 'marehemu' TANU huwa yanafanywa kila mwaka?
 
Sijui ni mimi tu au kuna wenzangu hapa Jamvini, ukiangalia picha za awali inaonekana kama watu wako ndani ya Jengo. Seating arrangement ndio inanipa shida, high-table alimokaa mwenyekiti iko juu sana, wanachama wa TANU/CCM wamekaa chini! Ndio kuna zulia, lakini miaka 57, wameshindwa hata kukodisha viti vya plastic badala ya kukalisha watu chini? The thinking behind hii seating arrangment is very wrong na inadhalilisha kwa kiasi chake.

Najuwa kwa culture ya Kiswahili tunakaa chini na ingekuwa nje (kwenye kiwanja) afadhali lakini sio ndani ya jengo tena official events ya miaka 57?
 
Itanichukua karne na zaidi kuelewa mantiki ya hii public holiday ya leo, kweli nchi hii ilivyomasikini tunaachakwenda kazini ili kusherehekea kuzaliwa kwa chama ambacho kilikufa miaka 34 iliyopita! ...eee Mungu turehemu!
 
Mwangalie GUNINITA KAMA T€mb¤
Wote hali ngumu. Wanawaza nini?
c7.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom