nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
* It is fascinationg the ruling party for the case of it being valuable and respected they go back to embrace TANU and trying to Correct their Meany Demenor by Embracing Tanu the Party which was run perfectly Under Nyerere and Rashid Mfaume Kawawa with Moses Nnauye as Katibu Mwenezi!!! Do U see the PIC?
The Party in Power has power of Using Artists; Government Places such as Mnazi Mmoja, POWER Management and POSHO
If people behaved like governments, you'd call the cops as you see all members of ruling Party in this celebrations.
Politicians are like diapers. They both need changing regularly and for the same reason... BUT CCM POLITICIANS are there for LIFE.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa nyumba kumi na viongozi wa mashina na matawi ya CCM katika wilaya zote za mkoa wa Dar es Salaam, mchana, ubungo Plaza ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya kuzaliwa TANU na madhimisho ya miaka 50 ya Uhuru.
Kikwete akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa na Katibu Mkuu wa Wilson Mukama baada ya kuingia ukumbini
Viongozi wa nyumba kumi na viongozi wa mashina na matawi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam wakiwa kwenye mkutano huo.
Wakimshangilia Kikwete
Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihamasisha mkutano huo. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akizungumza akwenye mkutano huo
Mmwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete, Msekwa na Mukama wakimfurahia mmoja wa waasisi wa TANU kati ya watatu walio hai, Costantine Milinga (90) alipokuwa akieleza alivyoshiriki kuanzisha chama hicho.
Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru naye akapata fursa kueleza alivyojiunga na TANU
CCM YATUMIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU KUKUMBUKA KUZALIWA KWA TANU
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais, Jakaya Kikwete alipowaili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, katika sherehe ya mkesha wa kuzaliwa kwa TANU. Kulia ni Mlezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Abdulrahman Kinana.
Wana-CCM wakiserebuka nje ya Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba wakati wa mkesha huo wa kuzaliwa kwa TANU usiku wa kuamkia leo.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiliza king'ora kuashiria kuzaliwa kwa TANU, kwenye Ofisi Ndogo ya makao makuu ya CCM Lulumba. Shughuli hiyo ilifanyika katika jengo ilimozaliwa TANU 7/7/1954
Kikwete na mkewe, Mama Salma Kikwete wakiondoka Lulumba, kwenda viwanja vya Mnazi Mmoja kuendelea na mkesha wa kuzaliwa TANU
Rais Kikwete akimsalimia Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru FM, aliposalimia wana-CCM mbalimbali kabla ya kuondoka Lumumba
Wananchi waliofurika viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye sherehe hizo
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akiwa na Makamu wake, Pius Msekwa, Katibu Mkuu Wilson Mukama na mkewe Mama Kikwete baada ya kuwasili viwanja vya Mnazi Mmoja. Kushoto ni, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Wapili kushoto Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita na kulia ni mlezi wa CCM mkoa huo, Abdulrahman Kinana.
Kikwete, Msekwa na Mukama wakijadili jambo wakati wa sherehe hiyo
Mamia ya wana-CCM na wananchi kwa jumla waliohudhuria sherehe hizo.
Mamia ya watu upande wa lango la kuingia viwanja vya Mnazi Mmoja
Burudani zilikuwepo, Marlow akitumbuiza
Halafu Ze Top In Town au TID naye akafanya mavituz yake kama hivi
Nape akaona haitoshi, akapanda jukwaani na kucharaza gita zito la bass, kuwapa tafu Vijana jazz
Kisha akazikung'uta tumba
Mama Salma Kikwete akamkubali kuwa kweli Nape ni mwanamuziki mahiri, akaenda kumtuza nteze kibao
Baada ya burudani, Kikwete akiambatana na muasisi wa mstari wa mbele wa TANU kati ya wawili waliopo hai Costantine Milinga, kwenda kuliza king'ora ilipotimu saa sita kamili usiku wa kuamkia leo
Rais Kikwete na Mzee Milinga wakishirikiana kubonyesha king'ora hicho
Wakati akiendelea kubonyeza king'ora, mafataki nayo yalikuwa yaiendelea kuunguruma huku watu wakishangilia. Kushoto ni Nape, Mama Kikwete, Msekwa, Mukama na kulia ni Kinana wakishangilia
Baadhi ya fataki zilizorindima Mnazi mmoja
Nape na JK wakifurahia tukio hilo
Kikwete akizungumza jambo na Nape, Guninita na Msekwa
Kapteni Komba akiongoza kundi la TOT kuimba wimbo maalum wa kupongeza miaka 57 ya TANU
Rais Kikwete akaanza kuondoka uwanjani kwa kusalimia wadau na viongozi mbalimbali, hapa anamwaga Katibu wa UVCCM, Martine Shigella. Kushoto ni Mama Kikwete
Akamuaga Nape
Akawaaga wadau mbalimbali kama hivi
JK akiondoka akisindikizwa na Msekwa, Mukama na
na viongozi wengine
Nape akatumia fursa hiyo kuzungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kwa nyakati tofauti baada ya Mwenyekiti, Rais Kikwete kuondoka. Hapa anazungumza na watangazaji wa Uhuru FM
The Party in Power has power of Using Artists; Government Places such as Mnazi Mmoja, POWER Management and POSHO
If people behaved like governments, you'd call the cops as you see all members of ruling Party in this celebrations.
Politicians are like diapers. They both need changing regularly and for the same reason... BUT CCM POLITICIANS are there for LIFE.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa nyumba kumi na viongozi wa mashina na matawi ya CCM katika wilaya zote za mkoa wa Dar es Salaam, mchana, ubungo Plaza ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya kuzaliwa TANU na madhimisho ya miaka 50 ya Uhuru.
Kikwete akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa na Katibu Mkuu wa Wilson Mukama baada ya kuingia ukumbini
Viongozi wa nyumba kumi na viongozi wa mashina na matawi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam wakiwa kwenye mkutano huo.
Wakimshangilia Kikwete
Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihamasisha mkutano huo. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akizungumza akwenye mkutano huo
Mmwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete, Msekwa na Mukama wakimfurahia mmoja wa waasisi wa TANU kati ya watatu walio hai, Costantine Milinga (90) alipokuwa akieleza alivyoshiriki kuanzisha chama hicho.
Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru naye akapata fursa kueleza alivyojiunga na TANU
CCM YATUMIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU KUKUMBUKA KUZALIWA KWA TANU
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais, Jakaya Kikwete alipowaili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, katika sherehe ya mkesha wa kuzaliwa kwa TANU. Kulia ni Mlezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Abdulrahman Kinana.
Wana-CCM wakiserebuka nje ya Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba wakati wa mkesha huo wa kuzaliwa kwa TANU usiku wa kuamkia leo.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiliza king'ora kuashiria kuzaliwa kwa TANU, kwenye Ofisi Ndogo ya makao makuu ya CCM Lulumba. Shughuli hiyo ilifanyika katika jengo ilimozaliwa TANU 7/7/1954
Kikwete na mkewe, Mama Salma Kikwete wakiondoka Lulumba, kwenda viwanja vya Mnazi Mmoja kuendelea na mkesha wa kuzaliwa TANU
Rais Kikwete akimsalimia Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru FM, aliposalimia wana-CCM mbalimbali kabla ya kuondoka Lumumba
Wananchi waliofurika viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye sherehe hizo
Mwenyekiti wa CCM Rais Kikwete akiwa na Makamu wake, Pius Msekwa, Katibu Mkuu Wilson Mukama na mkewe Mama Kikwete baada ya kuwasili viwanja vya Mnazi Mmoja. Kushoto ni, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Wapili kushoto Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita na kulia ni mlezi wa CCM mkoa huo, Abdulrahman Kinana.
Kikwete, Msekwa na Mukama wakijadili jambo wakati wa sherehe hiyo
Mamia ya wana-CCM na wananchi kwa jumla waliohudhuria sherehe hizo.
Mamia ya watu upande wa lango la kuingia viwanja vya Mnazi Mmoja
Burudani zilikuwepo, Marlow akitumbuiza
Halafu Ze Top In Town au TID naye akafanya mavituz yake kama hivi
Nape akaona haitoshi, akapanda jukwaani na kucharaza gita zito la bass, kuwapa tafu Vijana jazz
Kisha akazikung'uta tumba
Mama Salma Kikwete akamkubali kuwa kweli Nape ni mwanamuziki mahiri, akaenda kumtuza nteze kibao
Baada ya burudani, Kikwete akiambatana na muasisi wa mstari wa mbele wa TANU kati ya wawili waliopo hai Costantine Milinga, kwenda kuliza king'ora ilipotimu saa sita kamili usiku wa kuamkia leo
Rais Kikwete na Mzee Milinga wakishirikiana kubonyesha king'ora hicho
Wakati akiendelea kubonyeza king'ora, mafataki nayo yalikuwa yaiendelea kuunguruma huku watu wakishangilia. Kushoto ni Nape, Mama Kikwete, Msekwa, Mukama na kulia ni Kinana wakishangilia
Baadhi ya fataki zilizorindima Mnazi mmoja
Nape na JK wakifurahia tukio hilo
Kikwete akizungumza jambo na Nape, Guninita na Msekwa
Kapteni Komba akiongoza kundi la TOT kuimba wimbo maalum wa kupongeza miaka 57 ya TANU
Rais Kikwete akaanza kuondoka uwanjani kwa kusalimia wadau na viongozi mbalimbali, hapa anamwaga Katibu wa UVCCM, Martine Shigella. Kushoto ni Mama Kikwete
Akamuaga Nape
Akawaaga wadau mbalimbali kama hivi
JK akiondoka akisindikizwa na Msekwa, Mukama na
na viongozi wengine
Nape akatumia fursa hiyo kuzungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kwa nyakati tofauti baada ya Mwenyekiti, Rais Kikwete kuondoka. Hapa anazungumza na watangazaji wa Uhuru FM