Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Kwa mara ya kwanza nashuhudia kupoteza mvuto kwa sherehe hizi za Muungano,kwani ukianzia na mahudhurio pale uwanja wa amani hayakuwa mazuri sana na Kilicho nistajabisha ni juu ya vyombo vya habari hasa Runinga ukiachia TBC na channel ten ndivyo vilikuwa vinaonyesha lakini ITV haikuonyesha na vinginevyo!na Je mbona sherehe hizi kama sikosei zilifanyika mwaka jana Pemba,na kwanini mwaka huu hazikufanyika Bara?anayejua atujuze!