Sherehe za miaka 50 ya Uhuru Ziliko noga na Zilikododa

Duble Chris

JF-Expert Member
May 28, 2011
3,481
564
Hi JF members

Jana tulikuwa tukiadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika kwa mtazamo wangu kupitia Star TV Sherehe hizi

  • Mwanza - zilidoda watu wachache walijitokeza uwanjani
  • Tabora - zilifana sana - maandalizi yalikuwa mazuri wazee wenye kumbukumbu walialikwa
  • Dar - Ndiko kiini sherehe zilifana sana kwenye shamba la bibi
  • Arusha - kuna tetesi kuwa zilidoda

Vipi mkoani kwako tathamini ikoje ? .....Zilifana au Zilidoda
 
aahhh jana kupitia star tv taarifa ya habari saa mbili usiku ndo nilijua kwa nini Tabora ni masikini kiasi kile. Tabora miaka 50 ya uhuru haina barabara ya rami inayounganisha mkoa wowote.
Mzee mmoja alisema ni kutokana na uchu wa madaraka wa watu wa Tabora kutaka kumuondoa Nyerere madarakani ndo kumesababisha Nyerere apige marufuku maendeleo Tabora. akina Kasela Bantu, Chifu Fundikira na wengine wa wakati huo walitaka kumpindua Nyerere.
Bado natafakari sana mtu mmoja kuwanyima maendeleo maelfu ya watu kwa ajili ya watu watatu tu.
 
Endelea kuchukua maoni but tutafurahi kama recommendation za survey yako zitasaidia kutupunguzia makali ya maisha................as kufana au kutokufana ni sawa na kupendeza au kuchukiza kwa bibi harusi siku ya ndoa.......hakuna muunganiko wa moja kwa moja na maisha halisi
 
Arusha nasikia nikama hapakua na kitu kama hicho vile,mimi nilikua mwanza nikama vile soka la chandimu ,watu wamechoka na upumbavu wa sisiemu.
 
aahhh jana kupitia star tv taarifa ya habari saa mbili usiku ndo nilijua kwa nini Tabora ni masikini kiasi kile. Tabora miaka 50 ya uhuru haina barabara ya rami inayounganisha mkoa wowote.
Mzee mmoja alisema ni kutokana na uchu wa madaraka wa watu wa Tabora kutaka kumuondoa Nyerere madarakani ndo kumesababisha Nyerere apige marufuku maendeleo Tabora. akina Kasela Bantu, Chifu Fundikira na wengine wa wakati huo walitaka kumpindua Nyerere.
Bado natafakari sana mtu mmoja kuwanyima maendeleo maelfu ya watu kwa ajili ya watu watatu tu.

Habari za Tabora kwa mwezi kwa wastani huta zinatoka mara 1. Fuatilia vyombo vya habari. Je waandishi wetu nao wameisusa Tabora kwa nini?. Tafakari!
 
Back
Top Bottom