johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Sherehe hizi zitarushwa mubashara kupitia TBC, Channel ten, Azam tv, ITV nk
Rais Magufuli wa JMT na Rais Shein wa Zanzibar watawaongoza maelfu ya watanzania katika maadhimisho hayo.
Karibuni!
Up dates;
Viongozi wastaafu wameshaingia ukumbini wakiwemo mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Sumaye, Lowassa, Pinda nk
Rais Magufuli wa JMT na Rais Shein wa Zanzibar watawaongoza maelfu ya watanzania katika maadhimisho hayo.
Karibuni!
Up dates;
Viongozi wastaafu wameshaingia ukumbini wakiwemo mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Sumaye, Lowassa, Pinda nk