Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,346
- 4,614
Kinacho chukiza wengi kwenye hayo maadhimisho, ni protokali ya kiboya ya Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu ambaye huwa ni Raisi wa Jamuhuri ya Muungano kuingia wakwanza then ndo anafuata raisi wa SMZ.Sherehe hizi zitarushwa mubashara kupitia TBC, Channel ten, Azam tv, ITV nk
Rais Magufuli wa JMT na Rais Shein wa Zanzibar watawaongoza maelfu ya watanzania katika maadhimisho hayo.
Karibuni!
Up dates;
Viongozi wastaafu wameshaingia ukumbini wakiwemo mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Sumaye, Lowassa, Pinda nk
Na wakati wakutoka eti raisi wa SMZ ndo anaanza kisha Mkuu wa Nchi yote na Amiri Jeshi Mkuu Raisi wa Jamuhuri ya Muungano ndo anafuata - huku ni kudhalilishana