Sherehe za Mapinduzi uwanja wa Amani Zanzibar Rais Magufuli na Dr Shein kuhudhuria

Sherehe hizi zitarushwa mubashara kupitia TBC, Channel ten, Azam tv, ITV nk

Rais Magufuli wa JMT na Rais Shein wa Zanzibar watawaongoza maelfu ya watanzania katika maadhimisho hayo.

Karibuni!

Up dates;

Viongozi wastaafu wameshaingia ukumbini wakiwemo mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Sumaye, Lowassa, Pinda nk
Kinacho chukiza wengi kwenye hayo maadhimisho, ni protokali ya kiboya ya Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu ambaye huwa ni Raisi wa Jamuhuri ya Muungano kuingia wakwanza then ndo anafuata raisi wa SMZ.

Na wakati wakutoka eti raisi wa SMZ ndo anaanza kisha Mkuu wa Nchi yote na Amiri Jeshi Mkuu Raisi wa Jamuhuri ya Muungano ndo anafuata - huku ni kudhalilishana
 
Sherehe hizi zitarushwa mubashara kupitia TBC, Channel ten, Azam tv, ITV nk

Rais Magufuli wa JMT na Rais Shein wa Zanzibar watawaongoza maelfu ya watanzania katika maadhimisho hayo.

Karibuni!

Up dates;

Viongozi wastaafu wameshaingia ukumbini wakiwemo mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Sumaye, Lowassa, Pinda nk

Maalim Seif nayeye asije akafanya ule ujinga waliofanya viongozi wa cdm kwenda kuomba maridhiano.
 
Ni siku nyingine Tena ya tarehe 12.01.2020,ikiwa ni kumbukizi ya Mapinduzi ya Zanzibar,binafsi nawatakia wazanzibar wote heri ya siku hii maalum kwao.
Mwaka 2012/2013 nilibahatika kuwa viunga vya Nchi hiyo japo nilifika kuelekea mwisho na kuondoka mwanzoni mwa mwaka hivyo sikubahatika kuhudhuria siku hii maalum kwa wazanzibar.
Niseme ni Nchi POA Sana nakumbuka tukiwa mafunzoni asubuhi tulikuwa tunafanya jogging kuweka miili sawa,lakini hatujawahi zenguliwa.na wazanzibar nimekutana nao Hadi huku bara kwenye mafunzo Tena na wengi wao ni marafiki Hadi leo hii.
Pale Mwanakwerekwe ndio soko lao/center yao nzuri kwa biashara.nazikumbuka zile gari zao maarufu Chai maharage zinazopiga route toka shamba to mjini.
Chakushangaza Kuna sehemu kunauzwa gongo!!!!
Naahidi ipo siku nitarudi Tena kutalii sio Tena kikazi.muwe na siku njema.
Ni siku damu ya wazanzibar ilimwagwa bila ya hatia na mavamizi kutokea nchi ya tanganyika.

Sent using tecno tochi
 
BORA UMEME UNGEKATIKA WATANZANIA WASIONE HIYO ITAFIKI YA KIBOYA INAYO MDOGOSHA 'downgrade' RAISI WA NCHI & AMIRI JESHI MKUU
 
Sherehe hizi zitarushwa mubashara kupitia TBC, Channel ten, Azam tv, ITV nk

Rais Magufuli wa JMT na Rais Shein wa Zanzibar watawaongoza maelfu ya watanzania katika maadhimisho hayo.

Karibuni!

Up dates;

Viongozi wastaafu wameshaingia ukumbini wakiwemo mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Sumaye, Lowassa, Pinda nk
Haya ndio mapinduzi mliyoyataka ?
DSC_2469.jpg
 
Sherehe hizi zitarushwa mubashara kupitia TBC, Channel ten, Azam tv, ITV nk

Rais Magufuli wa JMT na Rais Shein wa Zanzibar watawaongoza maelfu ya watanzania katika maadhimisho hayo.

Karibuni!

Up dates;

Viongozi wastaafu wameshaingia ukumbini wakiwemo mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Sumaye, Lowassa, Pinda nk


KUSHEREHEKEA UVAMIZI NA MAUWAJI YA KIMBARI ???:oops::oops:
 
Leo ndio Leo machatos mtatuambia hizo sherehe zinaongozwa na she in au jiwe maana ninavyomjua boss wenu kupenda kila kitu kuongoza sijui Leo atafanya nini ! Jana aliona kuzindua hotel akaamua kuzindua na vijanjaweed na kuvichangia tzs 150m
ni sherehe hii tu Magufuli huwa sio mgeni rasmi
dah sijui huwa anajisikiaje aisee
 
Itifaki ya kipuuzi kabisa, hiyo ni dharau kwa Raisi wa Muungano ambaye ndiye Mkuu wa Nchi & Amiri Jeshi Mkuu na...na watanzania wana note ipo siku tu!

Mkubwa apewe hadhi yake muda wote na kila mahali
acha tu nao leo ni siku yao ya kujimwambafy
 
Back
Top Bottom