kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
... ccm! Hawana hata aibu! Juma hili tumeletewa taarifa ya kusikitisha ya wanafunzi wanaosomeshwa na serikali ya ccm huko Urusi wanavyopata taabu na shida za kila aina, wamefukuzwa kwenye hostel na kukosa chakula, tumeambiwa kuwa wanaangaika pamoja na barozi wetu kuombaomba misaada. JK na mawaziri wake hawana habari, wako M'mmoja wanazitafuna kodi za walala hoi. Wadau kweli hii ni haki?