faithful
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 378
- 33
mnaweweseka
nimekumisi burn hivi yule jamaa uliyemwambia aku pm jumanne alifanya hivyo kweli?
wapiiii silaaa!??
mnaweweseka
niko siriaz mjue....halafu sijui wenzangu mnaona ninachokiona mimi kwenye hii shughuli nzima?...kuna vitu kama vi3 ambavyo sivielewi
pole pastor, mapenzi yako hayakutimia, labda mpango wa kumwaga damu ukifanikiwa.
dua imekukwaza sehemu gani?
"mungu tunusuru na siasa za kidini" au? .........
Kiduku!!!!!
Anza na cha tatu.
kweli eenhe? hamuwezi kuvumilia uislam kabisa huko CHADEMA?
We unafanya nini huku wikiendi yote hii? Rudi kwenye jukwaa lako kuleeeeHivi kumbe ni leo eeeh?
Basi anza na cha pili.unataka nianze kiarabu au kiisrael?
Burn hujambo lakini?
Mi siku hz nakuogopa umekuwa mkali
???? !!!!!..***80(((^^@********!? umetumwa humu kaoge kwanza na uswaki
mama yako katoka bafuni kwani?
Eeh 'afadali' maana nilitishika. Sasa mbona hujanialika kwenye hii Dhifa ya kitaifa mimi hata habari sina mwenzioSijambo, usiogope ninawachemsha tu hawa watani wangu.
yaani kweli mambo ya dini bora niyaache .......maana nilitaka ku-comment kwa ule mzuzu wa rangi wa shekhe! :smile-big:
preta .......sema kinachokutatiza kuanzia namba tatu tafadhali
Nahisi hicho kiapo cha kiisilamu amepewa na Makamba heheheDua la mwakilishi wa kiisilamu limekaa kimafumbo sana.... "eeeh mola wetu tunakuomba uliepushe taifa hili na siasa za kidini...." sasa ni zamu ya jumuiya ya makanisa Tanzania... "Eeeh Mungu ntunakushukuru kwa kumuamsha mmoja kati yetu kuwa kiongozi wetu..."
Chuki binafsi!bora hata mnaopoteza muda kuangalia namna haki zenu zinavyopolwa, nyie mnavyowaza sherehe zinaendaje mi nawaza kwanini sina sniper maana nigekuwa nayo nahisi ningefanya mapinduzi ya kweli tz, siogopi kufa wala kumwaga damu yangu kwa ajiri ya haki.alaniwe kikwete na familia yake yote kwa kutuongezea umaskini.amen
dua imekukwaza sehemu gani?
"mungu tunusuru na siasa za kidini" au? .........