Sherehe ya IDD ELFIRI ilivyofunika jijini Dar; mamia kwa maelfu wajitokeza fukwe mbalimbali baharini

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
upload_2017-6-28_13-36-55.jpeg
upload_2017-6-28_13-37-41.jpeg
upload_2017-6-28_13-37-13.jpeg
upload_2017-6-28_13-37-30.jpeg
 
Duuh naona na wanaume na wanawake wa Dar wapo hapo..hakika sikukuu ilifana sana
 
sionag mantiki ya kutoka mbagala hadi koko just kuja kuogelea au kupunga upepo....hasa kipind kama iko cha sikukuu..ni vurugu na makelele tu....by the way wajiongeze pia zipo fukwe za bure kibao tu ni ustaarabu wako.....mie hadi jumamos hii nimpeleke mwanangu na mamake Coloseum kwa raha zetu !!
 
sionag mantiki ya kutoka mbagala hadi koko just kuja kuogelea au kupunga upepo....hasa kipind kama iko cha sikukuu..ni vurugu na makelele tu....by the way wajiongeze pia zipo fukwe za bure kibao tu ni ustaarabu wako.....mie hadi jumamos hii nimpeleke mwanangu na mamake Coloseum kwa raha zetu !!

Sawa.
 
Vipi vitu kama maradhi ya ngoz na vitu kama hivyo. Wanasemaje watu wa afya, let's say watu mia wanahitaj square km ngapi za maji ya bahari kuogelea ili kulinda afya zao. Vipi kuhusu nani aingie na nani asiingie, hatuna hata wahudumu wa afya kuthibitisha hilo.
 
watoto wa kike wanapigwa mashine sana humo ndani ya maji na mabichi boi,bad!
 
Back
Top Bottom